Jamani huyu mwanamke hataki kuongea nami

Jamani huyu mwanamke hataki kuongea nami

Chezeiya Mwanza wewe.... Uko wapi nikupe maujanja ya kufanya akutafute??
 
Wanajamvi nipo safarini Mwanza kikazi ajabu ni kwamba jana mke wangu tulipishana kauli kidogo amezira hataki kupokea simu,nina wasiwasi sana

Sajili line mpya kisha mwaandikie sms hivi;- "My sweet heart nimesikia mumeo kasafiri naomba tuonane jioni hotel Sserena kwa dinner" Asipokupigia naomba unisute.
 
Nisamehe dada kama nimekukosea, ila kwa haya majibu yako ninachelea kusema ndoa utaisikiliza kwa marafiki tu.

Nitolee gundu we ndo mungu tuseme unapanga...milaana yako hainipati ng'ooo...
 
Back
Top Bottom