Costa concodia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2014
- 209
- 48
Wanajamvi nipo safarini Mwanza kikazi ajabu ni kwamba jana mke wangu tulipishana kauli kidogo amezira hataki kupokea simu,nina wasiwasi sana
Kwahiyo????
Wanajamvi nipo safarini Mwanza kikazi ajabu ni kwamba jana mke wangu tulipishana kauli kidogo amezira hataki kupokea simu,nina wasiwasi sana
what? no dia ampigie wengine tunapenda kubembelezwa.
ukirudi mshushie kipondo kama huyu hapa
Jamani....
.....lazima atakuwa gesti...
mpenzi hiyo ndo dawa ya mwanamke mkorofi
hahaha wanawake mnavisirani nyie tena akiuchuna ndo anaongeza matatizo heri
aendelee kumtafuta tu hata kama bidada hataki kupokea simu hii mbinu ya kivita itamsaidia mleta mada akirudi nyumbani mke hatapata cha kulaumu na akilaaumu atamjibu"NINAKUPIGIA HUPOKEI SASA ULOTAKA NIFANYEJE???"bidada atakosa cha kusema
lakini
mleta mada akiuchuna asishangae kuambiwa na Bidadaz haya maneno"HUYO MAL@Y@ WAKO HUKO MWANZA KAKUSHIKA KWELIKWELI MPAKA UMENISAHAU"
mrembo tumboo nikuulize swali la kizushi ingekuwa ni wewe "msela" kakuchunia ungeanza kumtafuta wewe.......!!!!
BTW how was ur day
ungoje nini we tuma sms za kujishusha tu usjione mjinga kujishusha ni mkeo huyo so jaribu kujishusha labda kwa kuomba msamaha hata kama kosa sio lakoNimehisi bado ana hasira so ningoje mkuu
Yalikuwa mazungumzo tu kwenye simu kaniuliza unarudi lini nikamwambia sijui but within a week akaanza kung'ang'ania nimtajie siku exactly mvutano ukaanzia hapo nikakata simu,tokea hapo hapokei simu
Sasa kama mwanaume wa ukweli kwanini usiwe na specific day ya kurudi??ina maana hujitambui siku gani utamaliza kaz zako na kurudi kwa mkeo.?hata ingekua mie ningekununia vizuri maana unaweza ukawa unachenga kusema lin unarudi nyumban ili ufanye mambo ako mengine..una kosa sana tena muombe mkeo msamaha
Sasa kama mwanaume wa ukweli kwanini usiwe na specific day ya kurudi??ina maana hujitambui siku gani utamaliza kaz zako na kurudi kwa mkeo.?hata ingekua mie ningekununia vizuri maana unaweza ukawa unachenga kusema lin unarudi nyumban ili ufanye mambo ako mengine..una kosa sana tena muombe mkeo msamaha
Haya majibu ni ya mtu ambaye hana ndoa, unafanya imagination.
Ulitaka nijibuje na wewe..em jiheshimu si lazima u-quote comment yangu...mxeeeew