TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,027
Huu ushauri wako duh! Aupokee ila atumii akili ya kuambiwa achanganye na zake...
Mi nikimpgia simu baby wangu mara mbili ajapokea cpigi tenaa na wala ctumi msg......
Huu ushauri wako duh! Aupokee ila atumii akili ya kuambiwa achanganye na zake...
Mi nikimpgia simu baby wangu mara mbili ajapokea cpigi tenaa na wala ctumi msg......
Dah huyo jamaa atakuwa anakupenda kweli
Ila wanaume mnaboa kisawasawa...haswaa mnapokua safarini...si ajabu ulimchefua kisa michepuko uko ulipo
Anipende asinipende atajua mwenyewe lakini msimamo wangu ndio huoo
Jaman mi si mdanganyi....ivi unazan akiuchuna uyo mwanamke hata mtafta???.......mi mzima lol upo
hiyo lazima asikilize na hata jibu vilevile chezea kununa wew
Usimpigie