Jamani huyu mtangazaji nampenda balaa

Jamani huyu mtangazaji nampenda balaa

Lipa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2014
Posts
229
Reaction score
28
Nimetokea kumpenda sn huyu Mtangazaji wa Star Tv/RFA "Christina Mbezi"ila tatizo amegoma kupokea simu zangu...naumia sana.
 
Subir nafikiri unataka yakukute yalo wakuta waliokoswakoswa na vipaja vya kuku
 
10629562_10152384754400963_5296409523314942_n.jpg
 
TBC kama mwamamke ana sura ya kuvutia hapati kazi. Sijui wanawaokotaga wapi ? Utakuta mi wigi ya kizamani hivi hawajui kwamba mwanamke lazima awe presentabo.
 
Back
Top Bottom