Jamani huyu Fatuma Mahmoud "Mcharuko" namtafuta

Jamani huyu Fatuma Mahmoud "Mcharuko" namtafuta

Babu Kijana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
589
Reaction score
278
Habari bandugu,

Namtafuta huyu mwimbaji wa taarabu wa kundi la jahazi kaimba mwimbo maarufu wa "mtaniona hivi hivi" maruperupe.

Mwenye kumfahamu anijulishe.

Ahsanteni.
 
Mi namuuliziaa groly robison mjukuu wa mama sabun alikua anatangaza radio free hivi hua anatangaza wapi tena ana bonge la sautiiii yule dada lol
 
Mwimbaji wa taarabu..
images
 
Mi ugonjwa wangu hadija kopa daaa na ile miuno yake taraatibu mi hoi.
 
Back
Top Bottom