Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
kahtaan ,
Swali langu liko hivi;
'
Kwenye biblia kuna ahadi ambayo Mungu alimpa Ibrahimu,na ahadi hiyo kuna mwana wa Ibrahimu ambae ndo mbeba ahadi hiyo,mwana huyo umenijibu kuwa ni Isack
'
Je ahadi hiyo ni ipi?Yaani ahadi aliyoahidiwa Ibrahimu ambayo ataibeba mwana wa ahadi ambae ni Isaka!
Swali langu liko hivi;
'
Kwenye biblia kuna ahadi ambayo Mungu alimpa Ibrahimu,na ahadi hiyo kuna mwana wa Ibrahimu ambae ndo mbeba ahadi hiyo,mwana huyo umenijibu kuwa ni Isack
'
Je ahadi hiyo ni ipi?Yaani ahadi aliyoahidiwa Ibrahimu ambayo ataibeba mwana wa ahadi ambae ni Isaka!
Last edited by a moderator: