kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Eiyer. Labda nikukumbushe kidogo kuhusu huu mjadala wetu.kahtaan ,
Unaponiuliza kuhusu Mungu ninaemuabudu mimi,unatakiwa uniulize mimi ni Mungu wa aina gani huyo ninaemuabudu
'
Hii maana yake ni kuwa "difinisheni" ya Mungu ninaemuabudu ninaijua mimi na sio wewe,unaponiambia mungu ambae sijui yuko hivi au vile huyo atakuwa ni wa kwako na sio wangu,wangu ninamjua mimi,na ni mimi pekee ninaeweza kumuelezea
'
Halafu Mungu wangu unamtakia nini?Kwanini unataka kumjua?Ili iweje na kwanini?
Hapa toka mwanzo tatizo lililopo ni je! Allah maana yake ni MUNGU!.??
Wewe unasema huyu ni wa waislamu tu!
Na mimi nakwambia kuwa huyu "ALLAH"
Ni " MUNGU" wa watu wote.
Na kama ulivyo kubali kwenye uzi huu kuwa.
Inawezekana kuna miungu wengi lakini MUNGU WA KWELI NI MMOJA TU!.
Sasa huenda mimi na wewe tatizo letu ni namna ya kumwuita huyo MUNGU.!
Lakini huenda akawa ni huyohuyo mmoja!
Sasa kwa sababu wewe mwenyewe umekubali kuwa MUNGU WA KWELI NI MMOJA TU!.
Na kutokana na kauli yako hio .
ndio maana Mimi nakuuliza swali dogo tu.
Je! Wewe Eiyer unaabudu huyo MUNGU WA KWELI. AMBAE NI MMOJA TU??
AU umekubali tu kuwa MUNGU WA KWELI NI MMOJA .
Lakini unaabudu miungu wengine zaidi ya MMOJA??
Hapa ni kutaka kujua tu! Je! Unafanya unacho kisema?? Au unasema tu! lkn matendo ni tofauti??
Na wala sio kuwa mimi kwa nini nataka kujua mungu gani unaabudu!
Hapa Ni jibu moja tu kati ya haya mawili !
1.Ni aidha unaabudu MUNGU MMOJA.
kama ulivyo kubali hapo nyuma kuwa huyo MMOJA ndio wa kweli.
AU
2.Japo unakubali kuwa MUNGU WA KWELI NI MMOJA TU. lakini unaabudu miungu zaidi ya MMOJA!!
Ni hilo tu.
Last edited by a moderator: