Jamani huu si uchawi saidia

Jamani huu si uchawi saidia

Status
Not open for further replies.
Jibu zuri mkuu kahtaan. Na halina shaka ndani yake!

Izz,kusema jibu ni zuri hiyo ni haki yako mana ndivyo ulivyofundishwa nakuaminishwa but hakunijibu kwamba je!Waislam mna huruma na uchungu sana na nafsi za Wakristo hadi kujieka busy kiasi hiki kuziokoa zisiangamie?pia unaamini Mungu aliekuumba ww kama ulivyo anaweza kweli kukupa jukmu la kuifanya kazi yake,kumtetea pale akitokea kiumbe alieumbwa nae kama ww akimuongelea vibaya kuhusu u'Ungu wake?!sidhani mkuu huyo hatakuwa Mungu.niseme tu kwamba sipingi mnachoamini but mngejiweka tu pembeni kufuatilia wanachoamini wengine kwani mwisho wa cku ni m2 na Mungu wake aliemuumba.na-log out
 
Last edited by a moderator:
Izz,kusema jibu ni zuri hiyo ni haki yako mana ndivyo ulivyofundishwa nakuaminishwa but hakunijibu kwamba je!Waislam mna huruma na uchungu sana na nafsi za Wakristo hadi kujieka busy kiasi hiki kuziokoa zisiangamie?pia unaamini Mungu aliekuumba ww kama ulivyo anaweza kweli kukupa jukmu la kuifanya kazi yake,kumtetea pale akitokea kiumbe alieumbwa nae kama ww akimuongelea vibaya kuhusu u'Ungu wake?!sidhani mkuu huyo hatakuwa Mungu.niseme tu kwamba sipingi mnachoamini but mngejiweka tu pembeni kufuatilia wanachoamini wengine kwani mwisho wa cku ni m2 na Mungu wake aliemuumba.na-log out
Sir Mimi, ebu rejea kwenye jibu la kahtaan huko juu ambalo mimi nime-sherehesha tu kwa kumwambia hicho ulichoni-quote

Tafadhali kisome pole pole na utapa jibu la hilo swali unalouliza. Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Sir Mimi, tuambie kama unayo kinga ya kutokuulizwa maswali hapa Jamvini ili mtu hasikuguse mkuu!

Mtu yeyote akionesha uthibitisho wa hiyo kinga ya maswali, bila shaka hataguswa mtu huyo!

Mkuu Izz mimi kinga sina ila ningependa kama maswali yatakwepo,yasilenge ktk kukashifu kile ninachokiamini!ndo maana hata ukipitia post zangu hakuna niliposema ndugu Izz au Waislam kwa ujumla wao wanaamini kisichokuwapo,coz sipendi kumkwaza mtu!hivyo mkuu maswali yakiwepo waeza'nitupia na nitajb jinsi nitavyoelewa.
 
Last edited by a moderator:
Izz,kusema jibu ni zuri hiyo ni haki yako mana ndivyo ulivyofundishwa nakuaminishwa but hakunijibu kwamba je!Waislam mna huruma na uchungu sana na nafsi za Wakristo hadi kujieka busy kiasi hiki kuziokoa zisiangamie?pia unaamini Mungu aliekuumba ww kama ulivyo anaweza kweli kukupa jukmu la kuifanya kazi yake,kumtetea pale akitokea kiumbe alieumbwa nae kama ww akimuongelea vibaya kuhusu u'Ungu wake?!sidhani mkuu huyo hatakuwa Mungu.niseme tu kwamba sipingi mnachoamini but mngejiweka tu pembeni kufuatilia wanachoamini wengine kwani mwisho wa cku ni m2 na Mungu wake aliemuumba.na-log out

Nimeipenda sana hii,asante mkuu!!
 
Umeona mkuu,malumbano yanaanzia hapa!sijaona mantiki ya ww kuuliza swali hilo alietakiwa kuuliza ni mwanzisha mada na hata akikwambia bwana huyo ni bwana gani hutaelewa coz sivyo ulivyofundishwa,wakati mwengine kukaa kimya sio dhambi mkuu ni busara!

Mkuu Mungu akubariki sana kwa busara zako!
 
Nifanyaje,

Nyumba ninayokaa, hali imefikia napigwa na kutishwa usiku wa manane, nimefikia nashindwa kulala maana hali inanitisha. Mara ya kwanza nikilala nilikuwa napata usingizi wa kulazimishwa baada ya hapo nahisi kukualiwa na kitu kizito ajabu najipigapiga kujishtua na inakuwa ngumu mwishowe ndiyo nafanikia , hali iliyofikia sasa hata kama sijasinzia nikijifunika net na shuka, ninapigwa kwa mshindo mdogo kama mtu ananishitua aidha mguuni au kichwani nikijifunua kuangalia sioni lolote, muda mwingine hata kama nimejiegesha tu kitandani nakuta ubaridi wa ajabu unaanza vidole vya miguu mpaka kiunoni na kurudi ikifuatiwa na hali ya uzito wa kama kukaliwa vibaya kuanzia miguuni, nimekuwa nalazimika kutolala kwa siku tatu mfululizo. hali hii ilikuwa inanitokea japo kwa interval hapa nyuma kidogo sasa imezini. Nimeondoka pale (pwani) nipo dar sasa hali hii hainitokei kabisa. Natakiwa kwenda kule kwa kuwa ni kazini, hali ngumu.

Nisaidieni namkamata vipi huyu, nataka kumkamata. nimepima malaria sina minyoo sina what is this

una tatizo la kisaikolojia, nachokuomba nenda kwa wataalamu wakushauri kwasababu unapokuwa tanga unawaza sana mambo hayo kama ukishindwa hama nyumba.
 
Mi ntakujibu kwa niaba ya Shark

Watu lazima wafahamu kuwa YESU ni mtume ambae. Mtu hawezi kujiita Muislamu mpaka akubali kuwa YESU NI MTUME NA NABII WA MUNGU.

Na moja ya maamrisho ya dini ya kiislamu ni kusema ukweli mambo yanayo husiana na MUNGU!
Na kupinga vikali! Pale MUNGU anapo singiziwa uongo.
Mfano;
Mtu anaposema YESU NI MUNGU! Au MUNGU ANA WATOTO! Au MUNGU ALIKUFA HALA AKAFUFUKA au MUNGU ALISULUBIWA basi mimi kama muislamu NIMEAMRISHWA niseme kuwa HUU NI UONGO JUU YA MUNGU!.

Huwezi kumchezea MUNGU MKUU kiasi hiki. (Umuue. Umpe mtoto. Umsulubu. Umgeuze binaadamu, umuadhiri kwa sifa hizi na nyingine chafu ambazo ukipewa hata wewe huwezi kuzikubali) eti kwa kisingizio kuwa una IMANI TOFAUTI!.
La hasha! Hapo ndugu yangu UKWELI UTAAMBIWA TU!.

Lakini hulazimishwi kufuata imani yangu au yyt. Ila tu! Mpe MUNGU SIFA ZAKE ZA KWELI!.
We sema kama unaabudu mti au ng'ombe kama wahindi au milima kama budas! Au miti na misitu kama bahai uone kama kuna muislamu atakusemesha!

Lkn ukisema tu huyu YESU ni MUNGU ujue huyo sio wa kwako. Bali ni Kiumbe wa MUNGU anahitaji kupewa heshima yake anayo stahili na sio kusingiziwa UONGO.

NI HAYO TU.

Nadhani umesomeka vilivyo Mkuu kahtaan
 
Last edited by a moderator:
mungu ni yule aliyetandikwa bakora na viumbe vyake pale msalabani,mungu asiye na uwezo wa kusamehe dhambi mpaka asulibiwe,ni vichekesho.

Usilolijua ni kama ausiku wa giza. Ngoja niondoke humu mana nahisi kukwazika!! Wala usini quote tafadhali!!
 
Wakristo tunamuabudu Yehova waislamu wanamuabudu Allah,hii haiwezi kuwafanya wakristo wanapomtaja Mungu wao wawe wanakua wanamtaja mungu wa waislam,hivyo ni upotoshaji mkubwa wa waislam kudai eti wanamtetea mungu,wanachotakiwa ni kuse wanamtetea mungu wao Allah
'
Mungu wa wakristo sio mungu wa waislam,waislam wanatakiwa wamtetee Allah na si zaidi ya hapo
'
Yesu sio Isa,akisemewa uongo Isa hapo waislam ndo wanatakiwa kukemea na si zaidi ya hapo
'
Kama kuna anaebisha aseme
'
Nasema Allah ni neno la kiarabu linalomuwakilisha mungu wa waislam,kumbukeni mungu sio jina ni cheo ambacho anakua nacho yoyote anaeabudiwa hata wewe unaesoma hapa kama unaabudiwa utapewa cheo hicho lakini una jina lako,hata kukiwa na mtu mwingine anaabudiwa nae atapewa cheo cha uungu lakini nae atakua na jina lake,wewe unaweza kuitwa kahtaan na yule akaitwa Kikwajuni one
'
Kikwajuni hawezi kuwa kahtaani eti kwa kuwa nae anaabudiwa,wanaomuabudu kahtaan wakimtaja mungu hawatakuwa wanamtaja mungu wa wafuasi wa Kikwajuni bali watakuwa wanamtamka mungu wao ambae ni kahtaan
'
Hii ndio tofauti ya Allah na Yehova
'
kahtaan na Kikwajuni one mtaniwia radhi kwa kutumia ID zenu,nimetumia kama mfano tu ili kueleweshana,natumai sijawakwaza!!
 
Last edited by a moderator:
Wakristo tunamuabudu Yehova waislamu wanamuabudu Allah,hii haiwezi kuwafanya wakristo wanapomtaja Mungu wao wawe wanakua wanamtaja mungu wa waislam,hivyo ni upotoshaji mkubwa wa waislam kudai eti wanamtetea mungu,wanachotakiwa ni kuse wanamtetea mungu wao Allah
'
Mungu wa wakristo sio mungu wa waislam,waislam wanatakiwa wamtetee Allah na si zaidi ya hapo
'
Yesu sio Isa,akisemewa uongo Isa hapo waislam ndo wanatakiwa kukemea na si zaidi ya hapo
'
Kama kuna anaebisha aseme
'
Nasema Allah ni neno la kiarabu linalomuwakilisha mungu wa waislam,kumbukeni mungu sio jina ni cheo ambacho anakua nacho yoyote anaeabudiwa hata wewe unaesoma hapa kama unaabudiwa utapewa cheo hicho lakini una jina lako,hata kukiwa na mtu mwingine anaabudiwa nae atapewa cheo cha uungu lakini nae atakua na jina lake,wewe unaweza kuitwa kahtaan na yule akaitwa Kikwajuni one
'
Kikwajuni hawezi kuwa kahtaani eti kwa kuwa nae anaabudiwa,wanaomuabudu kahtaan wakimtaja mungu hawatakuwa wanamtaja mungu wa wafuasi wa Kikwajuni bali watakuwa wanamtamka mungu wao ambae ni kahtaan
'
Hii ndio tofauti ya Allah na Yehova
'
kahtaan na Kikwajuni one mtaniwia radhi kwa kutumia ID zenu,nimetumia kama mfano tu ili kueleweshana,natumai sijawakwaza!!
Haiwezekani,na haitawezekana,Waungu wawe wengi,Mungu atakuwa ni Mmoja tu,ndio mana binadamu wote tunasema tuko sawa,kama kungekuwa na waungu tofauti,hata binadamu tungekuwa tofauti.Na kwa dunia pia ingekuwa tofauti,na maisha ya watu pia yangekuwa tofauti,Mungu mmoja angejitahidi aweke ahadi kama watu watakao mfuata hawatakufa,na Mungu mwingine angeweka ahadi,ya atakae nifuata nitampa utajiri,kila mmoja angetoa offer yake.Ili apate wafuasi,na hili lingeonekana kwamba wafuasi wa Mungu fulani hawafi,au hawawi maskini,au hawaumwi,lkn tunaona ni kwa binadamu wote wanaumwa,wanakufa,wapo maskini,wapo matajiri nk.
Hii inatudhihirishia mwenye kufanya haya yote ni Mungu mmoja tu,sasa ukisema Mungu wa wakristo aitwa Yehova,hiyo ni kiebraniya,lkn Biblia za Kiarabu Mungu anaitwa Allah,na imeandikwa Allah,kama ilivyoandikwa katia Quran.
Na ukisema Isa siyo Yesu,basi pia Jesus au Yoshua atakuwa siyo huyo unayemkusudiya,wewe,jina linategemea matamshi ya watu wa eneo husika.
 
Last edited by a moderator:
Ukienda kwa wazulu,utakut Mungu wanamwita Umvelinqangi,ukimuuliza Mzulu yoyote huyu Umvelinqangi ni nani hasa?Atakuambia kwa kizulu
Hawu Umnimzani Uyena,Umoya,Oingcwele,Akazaliyena,Futhi,Akalwanga,Futhi,Akuko,Lutho Olu Fana naye.Maana yake kwa kiswahili
Ah bwana,huyo ndio Roho Aliyetakasika na kutukuka ,Hakuzaa wala Hakuzaliwa,na isitoshe hakuna anaye fanana naye.
Kila kabila la kiafrika ,kusini mwa mto zambezi,lina jina lake la kumtaja Mungu,yapo majina kama Tixo,Modimo,Unkulunkulu, nk.
Mtafiti mmoja alipomuuliza mzee mmoja wa kizulu,kwa nini hawakuchonga sanamu ya Mungu,akajibu ni kwa vipi Mungu masanamu,wakati twajuwa Mungu hafanani na kitu chochote,unachoweza kuhisi au kufikiria.
 
Hapa angalau tunaweza tukawa tunaelekea kwenye ukweli sasa
'
Kikwajuni one ,mimi kusema Wakristo na waislam wanaabudu miungu tofauti hii haina maana kuna miungu wengi waumbaji,HAPANA
'
Hii ina maana kuwa kuna Mungu wa kweli na mungu wa uongo,hawa wote wana sifa au cheo cha mungu
'
Ili tumjue Mungu wa kweli ni lazima tuya-trace majina ya miungu yote ili tujue yametokea wapi kwani kila jina la mungu lina maana na asili yake
'
Hapa ndipo tutaujua ukweli,ndio maana Mungu amesema usilitaje bure JINA la bwana Mungu wako hii ina maana Mungu ana jina
'
Lakini tukibishania neno Mungu na kulazimisha kila anapotamkwa mungu atakua anatamkwa yule tunaemuabudu sisi tutakuwa wagonjwa wa akili!
 
Last edited by a moderator:
Hapa angalau tunaweza tukawa tunaelekea kwenye ukweli sasa
'
Kikwajuni one ,mimi kusema Wakristo na waislam wanaabudu miungu tofauti hii haina maana kuna miungu wengi waumbaji,HAPANA
'
Hii ina maana kuwa kuna Mungu wa kweli na mungu wa uongo,hawa wote wana sifa au cheo cha mungu
'
Ili tumjue Mungu wa kweli ni lazima tuya-trace majina ya miungu yote ili tujue yametokea wapi kwani kila jina la mungu lina maana na asili yake
'
Hapa ndipo tutaujua ukweli,ndio maana Mungu amesema usilitaje bure JINA la bwana Mungu wako hii ina maana Mungu ana jina
'
Lakini tukibishania neno Mungu na kulazimisha kila anapotamkwa mungu atakua anatamkwa yule tunaemuabudu sisi tutakuwa wagonjwa wa akili!
 
Last edited by a moderator:
Kikwajuni one ,hili sio suala la tofauti ya lugha,hili ni suala la jina
'
Jina Kikwajuni na jina Kinondoni hayawezi kufanana hata uyapeleke kwenye lugha gani yatakuwa tofauti tu na yanayowalisha watakua tofauti
'
Allah ni kiarabu tafsiri yake kiswahili hata wewe hujui wala tafsiri yake sio mungu,mungu kwa kiarabu ni ilah
'
Sasa Allah maana yake nini?Kama kuna watu wameandika jina la Mungu au cheo cha Mungu kwa jina Allah watakuwa ni wajinga au wehu
'
Yehova kwa upande mwingine ni kiebrania tafsiri yake ni kwa kiswahili ni NIKO AMBAE NIKO
'
Yesu kiarabu ni Yeshu,Isa ni jina la kiarabu maana yake nini?
'
Usirahisishe mambo!
 
Last edited by a moderator:
Lakini mkuu kweli Imani yako hailazimishi wengine kuifuata?unapomkosoa Mkristo kumwambia et'anatoa kashfa kwamba Mungu ana mtoto ambapo nikitu anachokiamini huoni kwamba ww ndie unaemkashfu Mkristo?coz yy ameshaamini hivyo nakishakua radhi kwamba hata akifa leo hatapoteza ki2 kwakuamini hivyo,ss kuwaje unasema anamkashfu Mungu wake?unataka kuniambia kwamba unamuonea huruma kwa upotevu wake!au unataka kutuaminisha kwamba Mungu wenu amewapa kazi yakuwapinga nakuwakosoa wale wanosema kwamba ana mtoto,unadhani Mungu wakweli atakipa kikundi cha watu ambao nao wana dhambi(kumbuka dhambi zipo kwa wote)kuwakosoa wenye dhambi wenzao kwakusema ana mtoto,kama kuna Mungu anaesema hivyo(1)Mungu huyo nidhaifu(2)Mungu huyo hajiamini kwamba anaweza kuwasimamia watu aliowaumba hadi kuwapa wengine wao kumsaidia kazi hiyo na(3)Mungu huyo haku-plan mapema nanma yakuwasimamia wale alowaumba akaja kushtuka mda ushaenda yakwamba alisahau kusema kwamba hana mtoto,nakazi yakupinga hilo akawapa wana'adam ambao ni nyie kitu ambacho hakiwezekani!naamini Mungu hana haja yakusaidiwa kuhukumu kuhusu hiki au kile kwani wote mimi,Max,Khaatan Eiyer nawengineo wote niwake na anauwezo kututwaa mda anotaka,so!tukishafika kwake yy ndiye atatuhukumu mimi kwakusema ana mtoto,ww vinginevyo atavyoona inafaa!tuache watu waamini wanavyoamini kubishana kwingine hakuna maana!

Mkuu Sir Mimi rejea maelezo yangu hapo juu!.
Nasema kwa mara nyingine! HAKUNA MWISLAMU ANARUHUSUSIWA KUMLAZIMISHA MTU KUABUDU ANACHO ABUDU YEYE!.
Na hii ni amri!
Haturuhusiwi kufanya hivyo! ILLA!

Mtu atakapo sema UONGO juu ya MUNGU ni wajibu wangu na mwislamu yyt kusema!.

Na suala la kuwa kuna MUNGU zaidi ya Mmoja halipo.!

MUNGU MKUU NI MMOJA TU!.
Hilo watu watake wasitake!

Na kusema kuna MUNGU MKUU anaitwa "YEHOVA" na mwengine anaitwa "ALLAH". Hii ni njia ya kupotosha watu!

Tunakubali kuwa kuna watu wanaabudu miungu wa uongo wengi tu. Lkn hao miungu hawana sifa hatta moja ya MUNGU MKUU.

Sasa tukija kwenye moja ya sifa ya YEHOVA tunakuta wakristo wanasema, YEHOVA NDIO MUUMBA WA MBINGU NA DUNIA!

Hii ni sifa ya MUNGU MKUU PEKE YAKE!

miungu wa uongo hawana sifa hii.

Sasa ukisema huyuhuyu YEHOVA ANA MTOTO! hapo ndipo unapo sababisha watu kama mimi kudiriki kukuita muongo!

Kwa sababu MUNGU MUUMBA HANA SIFA PUNGUFU YA KUWA NA MTOTO!.

Sifa ya kuwa na.mtoto ni sifa ya viumbe sio MUUMBAJI!.

NA biblia pamoja na quraan vinathibitisha hivyo kama nilivyoonyesha huko nyuma!

Angalia mfano wa wahindu!

Mungu wao "ng'ombe" hana sifa ya MUNGU MMOJA!.

Sifa za huyu mungu wao ni kutoa maziwa na kuleta faida za ki dunia tu.

Na hizi ni sifa za viumbe vya mungu!

Kwa hiyo huwezi kuona mimi au muislamu anae ijua dini yake akaongelea suala la huyo ng'ombe!

Lakini wakianza kusema kuwa huyo ng'ombe anaweza kuumba! Basi hapo ndipo watakuwa wamelazimisha wale! Waumini wa MUNGU MMOJA kuwakemea na kuwakataza wasiseme uongo juu ya MUNGU MMOJA!.

Na suala hapa si eti! Kuwaonea huruma wakristo au kumtetea MUNGU wakati yeye anauwezo wa kujitetea mwenyewe!

Watu wanabadili maandiko ya MUNGU kwa faida za kidunia!

Hapo mwanzo tunajifunza ktk DINI KUU ZOTE kuwa kulikuwa na vitabu vikuu vya MUNGU VI NNE (4) TU.hakuna cha tano.

Na hivyo ni
ZABURI ya David
TAORATI ya moses.
INJILI(GOSPEL) ya Yesu
NA QURAAN ya Muhammad (s.a.w)

Vitabu vyote vimebaki kuwa na asili ileile ya UMOJA TU! isipokuwa INJILI (Gospel)!!

Leo tuna jumla ya main Gospel
(biblia) 52 DUNIA!

Na kila moja inadai kuwa ndio sahihi!

SASA WEE JIULIZE KTK HIZI 52 IPI NI YA YESU!

Na sisi hata kama zitakuwa 100! Hazitupi shida!

Ila tu! ZISIANDIKE UONGO JUU YA MUNGU MMOJA!

Ktk Agano la kale! AMBAPO manabii wa uongo kama PAULO hawakuchangia chochote. MUNGU ALIBAKI KUWA MMOJA! Na heshima zake akapewa!

Na AKABAKI NA SIFA ZOOTE ZA UUNGU!

Kwenye Agano jipya;

Huyo MUNGU WA PEKEE. akaanza kula kama mtu. Akapewa watoto. Halafu akasulubiwa. Halafu akapigwa mawe. Akatemewa mate! Akadhalilishwa kiasi cha kupitiliza!

Tukiuliza je! Ni sababu gani MUNGU ANAKUBALI KUDHALILISHWA KIASI HIKI NA VIUMBE WAKE!??

Tunaambiwa na Hao waliojipa Vyeo Vya UNABII kuwa
"huyo MUNGU amekubali kudhalilika ili dhambi za Eiyer na Sir Mimi na MaxShimba na kahtaan na Kikwajuni one na Izz na wafanya dhambi wengine wakiwemo WABAKAJI NA WANAO NAJISI WATOTO WADOGO NA WAUWAJI NA MASHOGA NA WASAGAJI! woote hao. DHAMBI ZAO ZAO ZISAMEHEWE!

Alla! Mbona tunamkosea adabu mungu kiasi hiki!??

Yaani MUNGU ADHALILIKE KWA SABABU ZA KIPUUZI KAMA HIZI?!?! KWELI??!

Halafu mtu anakuja kusema" huyo si Mungu wako. Ni wa kwangu!!!

We unadhani MUNGU MWENYE SIFA ZA UUNGU NI KAMA GARI!

Utasema huyu wa kwangu na huyo wa kwako?!?!

Mtageuza majina na lugha. Lakini mjue yeyote mtakaempa sifa za MUNGU MKUU. Mjue ni mmoja tu kwa walimwengu wote..

Na mkisema uongo juu yake mtaambiwa.

Asanteni kwa kusoma.
 
Last edited by a moderator:
Hapa angalau tunaweza tukawa tunaelekea kwenye ukweli sasa
'
Kikwajuni one ,mimi kusema Wakristo na waislam wanaabudu miungu tofauti hii haina maana kuna miungu wengi waumbaji,HAPANA
'
Hii ina maana kuwa kuna Mungu wa kweli na mungu wa uongo,hawa wote wana sifa au cheo cha mungu
'
Ili tumjue Mungu wa kweli ni lazima tuya-trace majina ya miungu yote ili tujue yametokea wapi kwani kila jina la mungu lina maana na asili yake
'
Hapa ndipo tutaujua ukweli,ndio maana Mungu amesema usilitaje bure JINA la bwana Mungu wako hii ina maana Mungu ana jina
'
Lakini tukibishania neno Mungu na kulazimisha kila anapotamkwa mungu atakua anatamkwa yule tunaemuabudu sisi tutakuwa wagonjwa wa akili!
huwezi kumjuwa mungu wa Kweli mpaka ujuwe sifa za Mungu,ili awe Mungu wa kweli ziwe vipi.
Mungu wa kweli,ambaye ndio muumbaji wa kweli,lazima atakuwa tofauti na na alivyoviumba,Muumbaji ,hafanani na alivyoviumba,Tatizo la upande wa kikiristo,ni kutokana na biblia kutokuwa na lugha yake ya asili,ukitafsiri kitabu kutoka Lugha asili,kuleta katika lugha nyingine,ufahamu maana ya maneno mengi,yatageuka,kufuata mjengo wa lugha,utamaduni wa lugha,na misemo ya Lugha unayoitafsiria,itaacha mjengo wa lugha,utamaduni,na misemo ya lugha,ya asili ya kitabu cha kwanza,kilichotafsiriwa.
Halafu pili dini hii,haikuja moja kwa moja kutoka alikokuwakomwanzilishi wake,ilipitia ulaya,biblia ikatafsiriwa ulaya,kwa lugha,na mjengo wa lugha,utamaduni,na misemo ya lugha ya kiingereza.Kutoka kiingereza ikatafisiriwa kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
Kikwajuni one ,hili sio suala la tofauti ya lugha,hili ni suala la jina
'
Jina Kikwajuni na jina Kinondoni hayawezi kufanana hata uyapeleke kwenye lugha gani yatakuwa tofauti tu na yanayowalisha watakua tofauti
'
Allah ni kiarabu tafsiri yake kiswahili hata wewe hujui wala tafsiri yake sio mungu,mungu kwa kiarabu ni ilah
'
Sasa Allah maana yake nini?Kama kuna watu wameandika jina la Mungu au cheo cha Mungu kwa jina Allah watakuwa ni wajinga au wehu
'
Yehova kwa upande mwingine ni kiebrania tafsiri yake ni kwa kiswahili ni NIKO AMBAE NIKO
'
Yesu kiarabu ni Yeshu,Isa ni jina la kiarabu maana yake nini?
'
Usirahisishe mambo!

Tunachaongolea ni matamshi,mwarabu,hataweza kutamka Kinondoni,kama atakavyotamka mswahili,na pia atakavyotamka mzungu,atakavyotamka mhindi.
Mfano neno Dodoma,asili yake ni Idodomia,ni neno la kigogo,lenye maana ya kudidimia,lakini matamshi,lafidhi za watamkaji wasiokuwa wagogo,iligeuza jina kabisa.Neno Tabora asili yake ni Taabuuri,maana yake ni kituo kwa kiarabu,lakini watamkaji wasiokuwa waarabu walibadili ikawa Tabora,na mifano ya majina ya watu pia,hubadilika kutegemea na matamshi,ya watu wa eneo husika.
 
Last edited by a moderator:
Kikwajuni one ,hili sio suala la tofauti ya lugha,hili ni suala la jina
'
Jina Kikwajuni na jina Kinondoni hayawezi kufanana hata uyapeleke kwenye lugha gani yatakuwa tofauti tu na yanayowalisha watakua tofauti
'
Allah ni kiarabu tafsiri yake kiswahili hata wewe hujui wala tafsiri yake sio mungu,mungu kwa kiarabu ni ilah
'
Sasa Allah maana yake nini?Kama kuna watu wameandika jina la Mungu au cheo cha Mungu kwa jina Allah watakuwa ni wajinga au wehu
'
Yehova kwa upande mwingine ni kiebrania tafsiri yake ni kwa kiswahili ni NIKO AMBAE NIKO
'
Yesu kiarabu ni Yeshu,Isa ni jina la arabu maana yake nini?
'
Usirahisishe mambo!

Ndugu Eiyer nadhani masuala ya majina ya MUNGU tumeisha yaongelea kwa ushahidi huku nyuma. Na wewe mwenye ukasema kuwa juu ya ushahidi niliokuonyesha ukasema huenda ikawa elimu yako kuhusu ukristo ni ya juu kuliko wale wakristo ambao ukiristo umeanzia kwao. Na huyo Yesu pia kazaliwa kwao!

Kama ulivyo kubali mwanzo kuwa.MUNGU ANA SIFA!
NA labda niandike sifa 3 tu !za hao MUNGU UNAOSEMA NI TOFAUTI.

SIFA ZA YEHOVA. kwa mujibu wa biblia!:-

1. NI MUUMBA WA MBINGU NA DUNIA.
2.NDIE ALIEUMBA WANADAMU.
3.NDIE MWENYE KUSABABISHA VIFO NA UHAI.


SIFA ZA ALLAH.kwa mujibu wa quraan:-

1.NI MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI.
2. NDIE ALIYEUMBA WANADAMU.
3.NDIE MWENYE KUSABABISHA VIFO NA UHAI.

Sasa tukikubali kauli yako. Ya kuwa hawa ni miungu wawili tofauti.

Itabidi nikuulize.je! Eiyer kati ya YEHOVA NA ALLAH

1.nani aliumba mbigu yetu hii na ardhi!?

2.nani aliye tuumba mimi na wewe!?

3.Na ni nani aliyesababisha uhai wetu hapa dunia!? Na ni nani ambae atakae sababisha umauti wetu mimi na wewe!?!
Na hao wasio amini MUNGU kabisaa!

Usije ukasema ALLAH kaniumba mimi na YEHOVA kakuumba wewe.!!

Manake hapo sasa itakuwa kama watoto wanabishania kipande cha biscuti!

Naomba unipe jibu!?! Vipi itawezekana tuwe na MUNGU MKUU zaidi ya MMOJA!

NA hata shetani hajawahi kudai kuwa KAUMBA!

Naomba jibu?
 
Last edited by a moderator:
kahtaan inaonekana hujasoma ukaielewa post yamgu uliguote hapo juu
'
Nimesema kuna Mungu wa kweli mmoja tu alieumba mbingu na dunia na vilivyomo
'
Lakini kwa mujibu wa BIBLIA,Mungu huyo ni Yehova tu
'
Kama ni hivyo wengine wote wanaabudu miungu ya uongo akiwemo Allah
'
Hivyo kama Yehova ndie aliyeumba kila kitu ukiwemo na wewe na mimi hii ni wazi Allah ni mungu wa uongo na hajaumba chochote,ni sawa na wale wanaoabudu miti au jua
'
Quran imeandikwa na Mohammad na hakuwahi kukutana na malaika YOYOTE,hivyo Allah does not exist na kama ni hivyo,hajawahi kuumba chochote
'
Yeyote anaeabudu mungu tofauti na Mungu wa kwenye biblia anaabudu false god kwa kuwa Mungu wa biblia ndo anaexist na anazungumza na watu wake hadi leo,miungu mingine iko kimya kwa kuwa HAIPO
'
Hiyo ni kwa mujibu wa maandiko matakatifu ya BIBLIA
'
Uliza jingine!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom