Jamani huu ni ugonjwa ama ni nini?

Jamani huu ni ugonjwa ama ni nini?

Mkuu wewe ni mzima kabisa, hali hiyo hujitokeza kwa mwanaume yeyote ambaye hana mahusiano ya kimapenzi msichana/mwanamke. Hivyo unaonekana wazi hata hapo ulipo hauko kwenye mahusiano, pia unaonekana ni muumini mzuri wa kupiga punyeto.
 
Mkuu wewe ni mzima kabisa, hali hiyo hujitokeza kwa mwanaume yeyote ambaye hana mahusiano ya kimapenzi msichana/mwanamke. Hivyo unaonekana wazi hata hapo ulipo hauko kwenye mahusiano, pia unaonekana ni muumini mzuri wa kupiga punyeto.

thread closed.
 
Mimi nina umri wa miaka 27 sijaoa, huwa nina hisia za haraka sana.

Nikigusana na jinsia ya kike huwa uume husimama ,hata nikiwa naongea na rafik yangu wa kike huwa uume husimama.

Nakumbuka siku 1 natoka kariakoo ili nishuke magomeni usalama,nikashndwa kushuka kwa kuwa uume ulikuwa umesimama,nilikuwa nimekaa na mdada.

Nikaenda kushuka manzese darajani. Huwa mda mwingne nakosa raha. Ndg wana JF, huu ni ugonjwa au nguvu za kiume zimenizidi?. Naombeni ushauri wenu kwa kweli ili nisije aibika .

Natangulia kutoa shukrani,kwa mtakaonipa ushaur nini cha kufanya. MUNGU awalinde.


Kabla sijakushauri, Naomba leo wakati wa taarifa ya habari ya saa 2 usiku, ukae na mama au dada zako, afu utuambia ulifilaje.
 
Kabla sijakushauri, Naomba leo wakati wa taarifa ya habari ya saa 2 usiku, ukae na mama au dada zako, afu utuambia ulifilaje

Koooote nimekuelewa....nilivyofika hapo kwa red sikujua ulikuwa una maana gani!!
1. uli- feel aje...
2. ulifiraje...
 
Muda si mrefu utachezea kichapo toka kwa wananchi wenye hasira kali kwa tabia yako ya dungadunga.
 
ahahahhahhhahhahhaha huyu ni mtu wa nyeto sana afu utakua unahangalia porno sana,xo kila ukigusana na demu unajikuta unamidadi ya kipornoporno tu.Jitulize punguza Punyeto na picha chafu,,,,,,,,,,,,,,...............,,,,,,,,,,,
 
bila shaka na ndoto nyevu mia mia kila siku!.. lol

ogopa sana unaota unamgonga mdada wa jirani, yule ambaye unashindwa kumwambia kuwa umemwangukia!.. dadeki!

Tuitunze sana mifugo yetu km muzi, kondoo, kuku n bata.. hahahhaaa! hope umeelewa kitu hapa!


Mi sijaelewa bana
 
Koooote nimekuelewa....nilivyofika hapo kwa red sikujua ulikuwa una maana gani!!
1. uli- feel aje...
2. ulifiraje...

hahahahaaaa yaani we mwanamke utasema hakuna mtu anakufahamu out of jf ambao unachat nao humu..
 
hizo ni dalili za kuishiwa nguvu za kiume....
 
Tafuta demu umgegede effectively walau mara mbili kwa wiki, utapona ugonjwa wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom