Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Kuna dawa ililetwa kwa mbwe mbwe sana kutoka Madagascar kwa kutumia dege letu na tukaambiwa ipo katika utafiti lakini wakati huo hupo tukamuona mzee wa jalalani akiwa amepose akiinywa bila tashwi shwi.
Sasa katika hali ya sasa tunapoambiwa kaugonjwa kapo ile dawa iko wapi? Msijipoteze mkafikiri tumesahau tupeni jibu.
Sasa katika hali ya sasa tunapoambiwa kaugonjwa kapo ile dawa iko wapi? Msijipoteze mkafikiri tumesahau tupeni jibu.