Amekunywa yote bwana mimacho muimba mapambio kusifia mtu mpaka anamuita mheshimiwa Mungu.Kuna dawa ililetwa kwa mbwe mbwe sana kutoka Madagascar kwa kutumia dege letu na tukaambiwa ipo katika utafiti lakini wakati huo hupo tukamuona mzee wa jalalani akiwa amepose akiinywa bila tashwi shwi.
Sasa katika hali ya sasa tunapoambiwa kaugonjwa kapo ile dawa iko wapi? Msijipoteze mkafikiri tumesahau tupeni jibu.
Kuna dawa ililetwa kwa mbwe mbwe sana kutoka Madagascar kwa kutumia dege letu na tukaambiwa ipo katika utafiti lakini wakati huo hupo tukamuona mzee wa jalalani akiwa amepose akiinywa bila tashwi shwi.
Sasa katika hali ya sasa tunapoambiwa kaugonjwa kapo ile dawa iko wapi? Msijipoteze mkafikiri tumesahau tupeni jibu.
Kabudi huwa haeleweki heleweki yule inawezekana ameigeuza chai muogope sana mtu anayemuita mtu tena msukuma muheshimiwa Mungu tena mbele ya camerasAtakua kaimalizia kabudi!
PoleeMadagascar concoctions.! Pale tulipigwa.