Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #61
hizi mboko hizi naona zinafagiliwa kwa sana humu ndani........wazazi wengine sijui mnasemaje,haya bana.mi ni last born pia,but u dot com ndo unaharibu watoto wengi sana,mpe mboko za kutosha na majukumu yaendayo na umri wake na make sure anatekeleza,jaribu kumjengea ratiba amabayo lazima aifate,mpangie muda wa games,masomo,ku socialize na wenzake na ndugu,kujihusisha na dini na mengineyo,yote yakienda sambamba tutajenga taifa bora,mfano mm by da time nipo form one nilikuwa nikiamshwa saa moja na kupiga deki vyoo vyote na kufagia uwahi before kwenda shule,,mjengee kujitegemea,mjengeee ratiba kamilifu na punguza kuchekacheka nae punde anapofanya upuuzi