Baada ya Kamati ya Makani kutoa ripoti yake kuhusu sakata la Jairo na kupendekeza kung'olewa kwa Jairo na mabosi wake pale wizarani, kumeanza kujitokeza kwa kampeni za kutaka Rais atekeleze azimio hilo la Bunge.
Katika debe hilo linaloongozwa na gazeti la Mtanzania, jina la Peter Serukamba limejitokeza mara kadhaa. Wapiga debe hao, ambao ni wapiganaji wa mafisadi ndiyo wanaoendesha pia vita vya wazi dhidi ya Maige ili Serukamba arithi nafasi hiyo. Serukamba, mhitimu wa IFM na baadae kuunga unga shule huko Esami. Jamaa hata communication skills zake ni shida na hata huo uhasibu anaodai kuusomea na shida. Sifa pekee ni kuwa yeye ni mlamba miguu wa Lowassa na si vinginevyo.
Wana jamvi tumjadili jamaa kama anafaa.
Katika debe hilo linaloongozwa na gazeti la Mtanzania, jina la Peter Serukamba limejitokeza mara kadhaa. Wapiga debe hao, ambao ni wapiganaji wa mafisadi ndiyo wanaoendesha pia vita vya wazi dhidi ya Maige ili Serukamba arithi nafasi hiyo. Serukamba, mhitimu wa IFM na baadae kuunga unga shule huko Esami. Jamaa hata communication skills zake ni shida na hata huo uhasibu anaodai kuusomea na shida. Sifa pekee ni kuwa yeye ni mlamba miguu wa Lowassa na si vinginevyo.
Wana jamvi tumjadili jamaa kama anafaa.