Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,024
Za kuambiwa changanya na zako Mleta mada.Mkuu kama kweli unampenda demu wake we fanya tu kile anachokwambia, jitundulize umpangie chumba mixer kumnunulia funiture na vitu vingine vya ndani ili aweze kujinafasi coz hio itanogesha penzi lenu maana itakuwa rahisi kwa nyie kuonana.
Usiogope bana, Si unajua Hawa wanawake ukitaka kuwa nao lazima ujiandae kugharamia, everything is all about risk taking.
Karibu nawe unitongoze ujionee, tena nifanyie vetting ya kutosha uje ushuhudie hapa hapa JF, natafuta miezi 10 tu niwe na miaka mitano bila kuchepuka kwenye ndoa.Hongera kwa kutongozwa
Hutaki kuendeshwa ila unaomba hadi hela ya kula na ya kodi ya chumba😂😂😂😂Kwann mm ndo nifate yako na kwann we usifate yangu wakti wew ndo ulinitongozaaa kuna design ya wanawake hawapendi kuendeshwa kbs yaan bora tuelewana sio kunipelekesha my dear
We ni mchoyo tuHutaki kuendeshwa ila unaomba hadi hela ya kula na ya kodi ya chumba😂😂😂😂
Ila wanawake kwa kweli ni mama zetu, dada zetu, wake zetu na tunawapenda sana, ila wengi wao akili zao ni mufilisi haswa!! Yaani ni empty boxes.
Sio uchoyo. Unaweka vitu vinavyopingana in one sentence.We ni mchoyo tu
Jamani si kila mtu ana maamuzi yake kama hataki kuolewa ni yeye. Wanaotaka kuolewa wakipata wa kuwaoa wataolewa na wasiotaka basi ni maamuzi yao.Hapa ndio tunapojua kwamba afya ya akili ni Noma Sana.....msipo olewa oooohh hatuelewi Kwa SASA hakuna wanaume.......na mkitaka kuolewa oooooh Mimi bado ngoja Kwanza .......mkiliwa kimasikhara ooooh umenichezea .......mnatakaJe kwani? Sasa dawa yenu ni mkongo Tu harafu kila MTU kwao....... Unataka kupangiwa chumba ili uanzishe ligi ya mahaba na mbwa mwitu wengine.......nyambafu
Sijui nikujibuje anyway ,,,,, kaa na pesa zakoSio uchoyo. Unaweka vitu vinavyopingana in one sentence.
Huwezi kuongelea kutotaka kuendeshwa while at the same time unaomba hadi hela ya pedi, hiyo ni very illogical. Kutokuendeshwa kunaanza na financial freedom. Unahudumiwa hadi hela ya pedi kisha unaongelea kutokuendeshwa? Hata uamuzi wa jamaa umekuja kutokana na kuona kabisa kuwa financially hiyo kazi haimsaidii chochote huyo demu. Kama unafanya kazi halafu unashindwa hata kununua pedi, most likely hiyo kazi inakupotezea tu muda.
Shida wanawake huwa hamna logic kabisa, mnawaza kindezi sana.
Miezi 3 ukajitambulishe? Unawahi nini jipe muda kwanzamkuu huyu mtoto ni pisi na nusu na kuna vigezo vyangu (kimuonekano na tabia kidogo) amevikamilisha. Nilikua nataka nijitambulishe kwao ili nisije kumkosa. Lakini amenikatisha tamaa kabisa.
Naam.Piga chini kima isiyojielewa hiyo.
Usimuonee huruma mwanamke achana nae huyo ni mdangaji. Tafuta anayejielewa kama upo tayari kuoa muoe.Nimejaribu kupiga chini, anatuma sana text za kulalamika na kulia lia.
Hahah.. kwa namna ambavyo nasome hii sms na wewe lazima unatoka lake zone bwashee.mkuu huyu mtoto ni pisi na nusu na kuna vigezo vyangu (kimuonekano na tabia kidogo) amevikamilisha. Nilikua nataka nijitambulishe kwao ili nisije kumkosa. Lakini amenikatisha tamaa kabisa.