Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

Vyote hivyo nimefanya lkn dogo ni king'ang'anizi hataki kuachika.

Ila anataka nimpangie chumba na furniture za uhakika..
 
Bro take this one.

Mapenzi ya kweli yanakujaga automatically... Mbaka ndoa.

Kama binti umempa mipango yako ya kutaka kumuoa na yeye kakujibu hawezi kuishi na mwanaume kwa Sasa na wakati huo huo anahitaji hela zako.
Huyo Dada anatafuta unafuu wa maisha kwa mgngo wako Kuna dragon mwenzake wanapendana sanaaaaaaaa.
Ndo wataoana.
 
Yeye amesema amhamishe kazi then wakapange waishi wote heeeeeeeee yote ayo miez mitat na wanaume hubadika hurogwa, na mengne mengi ety mm niache kazi niliyofanya mda mrefu nifate mwanaume bora niitwe malaya
iyo kazi inamsaidia nini ikiwa 90% ya mahitaji anaomba kwa jamaa.

kama anaona kazi ni bora, aendelee na kazi na imsaidie kununua mahitaji anayo taka ikiwa n pamoja na kujipangia chumba na kunua samani za ndani.
 
Achana naye mpuuzi kwanza wengi wao ili wapate hizo kazi lazima atoe mbususu kwanza
 
Miezi mitatu tu ya kufahamiana tayari unataka ukajitambulishe kwao?

Shukuru sana amekukatalia! Kuwa makini usije ingia choo cha kike!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…