DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Vipi mzee babaNinachojua tu na nina uhakika nacho pia ni kwamba wale wote ambao Wanashabikia Liverpool FC ni ' Majiniasi ' sana hapa duniani. Leo Liverpool FC isipokuwa Bingwa naogelea kutoka Feri hadi Kigamboni kwenda na kurudi huku Kichwa nikiwa nimezama tu katika Maji bila ya Kuibuka juu. Hakuna mechi nyepesi kwa Liverpool FC kama ambayo wanacheza leo huko jijini Kiev nchini Ukraine.
umeshaogelea ?