Wanachez saa ngapi ?Ni mpumbavu pekee anayeamini leo madrid atashinda
21:45Wanachez saa ngapi ?
Nice to see you major oooh I mean GeneralNinachojua tu na nina uhakika nacho pia ni kwamba wale wote ambao Wanashabikia Liverpool FC ni ' Majiniasi ' sana hapa duniani. Leo Liverpool FC isipokuwa Bingwa naogelea kutoka Feri hadi Kigamboni kwenda na kurudi huku Kichwa nikiwa nimezama tu katika Maji bila ya Kuibuka juu. Hakuna mechi nyepesi kwa Liverpool FC kama ambayo wanacheza leo huko jijini Kiev nchini Ukraine.
Yeyote ana chance ya kushinda leo
Mbona hujiamini? Huu ni mwaka wa Rangi Nyekundu tu Kutawala Duniani na kama Liverpool FC leo watavaa Uzi wao / Jezi yao Rangi Nyekundu Ubingwa unaenda Uingereza mapema sana. Nitafute Saa 5 na Nusu usiku tafadhali.
AhadiNinachojua tu na nina uhakika nacho pia ni kwamba wale wote ambao Wanashabikia Liverpool FC ni ' Majiniasi ' sana hapa duniani. Leo Liverpool FC isipokuwa Bingwa naogelea kutoka Feri hadi Kigamboni kwenda na kurudi huku Kichwa nikiwa nimezama tu katika Maji bila ya Kuibuka juu. Hakuna mechi nyepesi kwa Liverpool FC kama ambayo wanacheza leo huko jijini Kiev nchini Ukraine.
Nakusalimia chiefNi mpumbavu pekee anayeamini leo madrid atashinda
HahahahaNakusalimia chief
Atimae umetoka segereaMbona hujiamini? Huu ni mwaka wa Rangi Nyekundu tu Kutawala Duniani na kama Liverpool FC leo watavaa Uzi wao / Jezi yao Rangi Nyekundu Ubingwa unaenda Uingereza mapema sana. Nitafute Saa 5 na Nusu usiku tafadhali.
Vipi mkuu alifanikiwa kukutafuta huyu jamaa anayeitwa Songa heri...?
Atimae umetoka segerea