Jamani, Dr. Ulimboka yuko wapi siku hizi?

marinda si mchezo.watu wakimsikia watakuwa wana mtania si tena kama zamani wakiona mkombozi
 
Uyo mjinga kwa kipigo kile...sidhani kama atakufa tena.
Ila ilisaidia sana walivomkomesha mana mgomo uliisha
daaaah bro Huna hata huruma kama Israel mtoa roho. Hata kama jamaa alikosea but kushangilia kipigo kile yataka moyo sana. Mi kuua mdudu najisikia vibaya itakua binadam.
Hata kama yeye aliua kwa mgomo wao ni vizuri kusamehe ili ijulikane nani mjinga.
 
Hapana mkuu sijafurahia. Ila nimesema kwa kipigo kile halafu akanusurika...sidhani kama atakufa tena.
 
Yupo salama salmin hana shida yoyote pia hamna tatizo coz he is a good citizen now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…