Achana na mimi wewe....ninaheshimika kitaa ni mkurugenzi mwenye ofisi fulani hivi, nimeajiri graduates na ninatiririka kimiradimiradi hivi. Balozi za nchi zote hapa Tanganyika na Zanzibar zinanijua. Mradi wa ubalozini haukatizi. Me ndo CR mkuu product ya SUA....huniwezi wewe!
Achana na mimi wewe....ninaheshimika kitaa ni mkurugenzi mwenye ofisi fulani hivi, nimeajiri graduates na ninatiririka kimiradimiradi hivi. Balozi za nchi zote hapa Tanganyika na Zanzibar zinanijua. Mradi wa ubalozini haukatizi. Me ndo CR mkuu product ya SUA....huniwezi wewe!
Huna jinsi lazima unyamaze ma-CR wa SUA hatunaga mdhaha.....chuo SUA bwana DIT na UDSM ni kama TEKU tu. Nilikuwa CR wa SUA bwana unibabaishi kitu wewe.
Huna jinsi lazima unyamaze ma-CR wa SUA hatunaga mdhaha.....chuo SUA bwana DIT na UDSM ni kama TEKU tu. Nilikuwa CR wa SUA bwana unibabaishi kitu wewe.
ww mbweha chuo tz ni kimoja tu UDSM,hvyo vingine colleg km sua na vyakata km udom.ndoto yako ilikuwa UDSM ulivyopigwa chini ndo ukapata homa ya maisha na UD.Home of Intellectuals.
ww mbweha chuo tz ni kimoja tu UDSM,hvyo vingine colleg km sua na vyakata km udom.ndoto yako ilikuwa UDSM ulivyopigwa chini ndo ukapata homa ya maisha na UD.Home of Intellectuals.
Unawezaje kulinganisha UDSM na DIT mkuu!!? UD ni university DIT ni institute.....yn ni sawa upambanishe Tanzania na mombasa ya kenya...UD ina sifika in general ....DIT ni technical college ...so huwez zilinganisha kamwe
Mkuu maji ukisha yavulia nguo sharti uyaoge tu. Ulichagua DIT kwa sababu unazojua wewe. La msingi kuna waliokutangulia wanamaliza na kupata walichofuata hapo. Hiyo hujenga study-culture ya hicho chuo, hivyo ili ufanikiwe endana na study culture ya chuo au leta mabadiliko chanya. Vinginevyo hapa naona vijana mnapigana sound tu-sijui UDSM, SUA, SAUT, Mzumbe etc-wawe wagumu au rahisi haikusaidii kitu labda uhame chuo. All the best.
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....