soma soma dogo wenzako tumesoma kwenye system kama hii
A-----100-81
B------80--79
C------78--69
D------68--51
E-------50--41
F--------40-00
KILA SIKU UNGEKUWA UNALALAMA KUZITAFUTA HIZI ALAMA
soma soma dogo wenzako tumesoma kwenye system kama hii
A-----100-81
B------80--79
C------78--69
D------68--51
E-------50--41
F--------40-00
KILA SIKU UNGEKUWA UNALALAMA KUZITAFUTA HIZI ALAMA
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
unasoma Engineering acha kulialia mjomba, hata ukienda uko udsm st Joseph ,Saut na kwingineko kwote lazma upige msuli na mamodule ni mengi hivyo hivyo,Bachelor of Engineering sio Bachelor of education mjomba
KUSOMA [SANAAA] NI LAZIMA
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
Pole sana kijana, yote yatapita tu hata sie wengine tumepita hapo hapo Dit...
Ninachosikitika kitu kimoja tu,unasoma elimu ngumu then soko la ajira wanataka ujitolee (intern)
Pole sana kijana, yote yatapita tu hata sie wengine tumepita hapo hapo Dit...
Ninachosikitika kitu kimoja tu,unasoma elimu ngumu then soko la ajira wanataka ujitolee (intern)
Upuuzi ni nin? Upuuzi ni pale mnapobishana kuhusu vyuo wakati kila mtu anaamua kuchagua anachokitk na akihitimu cheti anapewa kutokana na alichokisotea
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
vipi ulivyochaguliwa hapo ulitamba kijijini kwenu kote. Sasa kwa taarifa yako hapo ndio kimetiwa greese ungeenda miaka kumi nyuma nadhani ungeacha chuo kimya kimya
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....