kwani bujibuji anatumia pills.?Kwakweli nimesikitika sana ulivyosema unaumwa malaria for 2 dayz now!May dea may u ponaa haraka ili safari ya mkuranga iweko kama kawa,dont forget to take pills,juice na matunda,ugua haraka haraka na upone polepoleeeeeeeeeeee,Miss u Bujibuji.
nn tena?
Bad and poor mentality. Pills ni vidonge vyovyote vile for any type of medication..kibongobongo watu wanajua ni mambo ya nyota ya kijani.kwani bujibuji anatumia pills.?
hauko mbali na ukweli JIMMY, ndo faida ya kuwa member JF , unapata na darasa la mambo usiyo yajua.Bad and poor mentality. Pills ni vidonge vyovyote vile for any type of medication..kibongobongo watu wanajua ni mambo ya nyota ya kijani.
Pole sana Buji kwa kuugua!!! Wakati wa kuja Mkuranga please mnicheki pale Kiguza nitakuwa na-move paleKwakweli nimesikitika sana ulivyosema unaumwa malaria for 2 dayz now!May dea may u ponaa haraka ili safari ya mkuranga iweko kama kawa,dont forget to take pills,juice na matunda,ugua haraka haraka na upone polepoleeeeeeeeeeee,Miss u Bujibuji.
Kwakweli nimesikitika sana ulivyosema unaumwa malaria for 2 dayz now!May dea may u ponaa haraka ili safari ya mkuranga iweko kama kawa,dont forget to take pills,juice na matunda,ugua haraka haraka na upone polepoleeeeeeeeeeee,Miss u Bujibuji.
Nyumba za wageni zipo hapa hapa mjini, kwa nini mkafanyie Mkuranga?ponaa haraka ili safari ya mkuranga iweko kama kawa,..