marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
ha ha ha ha ha mie sisemi na jana mipango tuliyoweka lazima ujipange ndugu, halafu Sweetlady na wenziwe nawatafuta wanijuze kilichompata Arushaone maana mi mpaka jana jioni naambiwa wote wapo shwari kabisa sasa?
Preta Nenda pale karibia na Supermarket , Halafu ubeep simu ya Mamzalendonipo boma hapa.....kuna nini mbona sioni.....?
Filipo ni salamu tu, kwa muda huu sina mengi...
Boma Boma jamani tulikamatwa na trafiki tukarekebisha, lakini kwa hili Arushaone kakwama eti Boma.
Mwanza Oooooooh Mwanza, Mwanza mji mzuriiiiii,
Bomaaaaa Oooooooh Bomaaaaa, Bomaaaaa Mjin mzuri jamani.
sijambo mpz! Nipo "nataniana" na Mamzalendo tu hapa! Umeshafika kazini!? Mchana mwema!
Arushaone ni mshambuliaji akina goli tu anachanganyikiwa daaaaah.
Sina hakina kachanyikiwa kiasi gani na kama atashirikishikisha viungo wachezaji ili kushinda.
Well well well,
Hii inaingia kwenye Hansard.
Bunge linaahirishwa mpaka kikao kijacho.
Hebu toka pande hiyo mshiki. We huna mvuto pande hiyo.
Afu hebu ambia hiyo Mamzalendo ikam zis wei niikaguemo kabla ndugu zangu Arushaone na Filipo hawajamaliza ligi yao.
Waishwaaaa?
sijambo mpz! Nipo "nataniana" na Mamzalendo tu hapa! Umeshafika kazini!? Mchana mwema!
Sasa mkuu kwa nafasi yako, unatakiwa kufuatilia na kutupa uhakika wa afya ya kijana wetu Arushaone.....
We care for his health na lazima tumwepushe na RIP!!
Babu DC!!
Preta Nenda pale karibia na Supermarket , Halafu ubeep simu ya Mamzalendo
Baba V am talking about BOMANG'OMBE wilaya ya HAI mkoani KILIMANJARO, acha kuzuga. Nimekufa nimeoza kwa Mamzalendo naombeni maji ya kunywa...koh koh koh... jamani presha...
Babu DC usihofu, haya mambo mie na mume wangu mpenzi Filipo tutayamaliza kistaarabu sana.. Naelewa kuwa yeye ni mwanadamu ,majaribu yapo ili ayashinde... Ntampa tu mwongozo kidogo wa namna ya kudeal na issue kama hizi na kumkumbusha ahadi ya Ndoa...