Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 724
- Thread starter
- #21
Pamoja mkuu, nimekuelewa.Siku zote usicheke na Konda, dereva! Hao watu wakikuona laini laini tu umekwisha, kama mmekubaliana kwa siku ni sh 50000/=
Hakikisha inatimia. Kingine kwakuwa wao ndo wanashinda na gari, service ndogo ndogo na faini visiwe juu yako wewe, vinginevyo utafanya services na faini fake kila siku mwisho wa siku gari inakufa wanakuacha huna kitu.