kwahiyo kwenu Lumumba sio hoja? au ndo kila kitu kinachohusu utetezi wa wanyonge mpka kifanywe na chadema? kama ni hivyo nyie magamba mpo kwa ajili ya nani?Hii imekua kero kabisa imebak TBC tu .. Wapinzan hawajaiona hii kama ni hoja wana ufipa
Dstv hawaachi hata tbc 1
Lipia upate uhondo au ni donda la jipu?
TCRA wenyewe hawasomeki!
Very soon jipu litatumbuka maana linapwita.TCRA ni miongoni mwa majipu yaliyoiva ambayo jpm kaamua kwenda kwao kuaga kwanza kabla ya kuyatumbua
Sio Azam tu hata continental hakuna local Chanel's !!
Continental local chanel's zipo mkuu
Basi hilo likingamuz mm halinifai.! Mieleka ntaonaje sasa kama haman e. TvNasikitika siku hizi kutokuwepo kwa e.tv kwenye decoder yao
Suala la Local Channels halipo kwenye mamlaka ya Azam or any service provider mwenye leseni sawa na Azam... hapa wanaingia pia DSTV na Zuku. Tulipoingia Digital, ni Startimes ndio walipewa sharti la kurusha local channels ambazo zilikuwa na national coverage na hii ni kwavile tangia hapo hizo channels zilikuwa free to air kwahiyo hakukuwa na sababu ya kuwataka wananchi walipie.Wakuu,
Napenda kujuzwa kama wanachokifanya Azam TV ku Block Local Channel zote ukiacha TBC1 ???????!!!!!??????!!!! Pale Subscriptions fee inapo expire.
Is this Fair ? Why Only TBC1 ?
What about other Local Channels ?
Si TCRA walishawahi kusema hawa Providers wanatakiwa kuonesha at least Local Channels for free.
Naomba kujuzwa
Cc TCRA
King'amuzi startimes dezo kwishne, Zile porojo sasa zimefikia mwisho za local chanel. Kuanzia tah 1 july chanel zote startimes za local chanel zimezimwa imebaki tbc 1 tu ..
Kila kitu pesa sasa lipia uone .
Nimeona hili jambo na kiukweli limeanza July Mosi , bila shaka ni katika ule mkakati wa Dr Mpango kusaka vyanzo vipya vya kodi .
Mwingine mwenye taarifa zaidi aongezee hapa .
Poleni sana watanzania masikini , hata uhuru wa kupata habari tu unaendelea kupukutika .
Ndoo narudi zangu nyumbani harakaharaka niiwahi Taarifa ya habari ya Chanel Ten.
Najaribu kuwasha, a, wapi bwana wenyewe wameshaiondoa kwenye orodha ya Chanel za bure kitambo!
Kuona hivo nikajaribu ITV wapi
Star T V chenga
Na nyingine kama hizo pia wameramba!
Wameniachia ile ambayo siitazamagi tu!
Ni hakika namba naisoma na kuiandika!
Sent from my itel_it1701 using JamiiForums mobile app
hivi ving'amzi vya bongo ni majipu kabsaaaaaaa. Sijui TCRA ipo wapi.??Ndoo narudi zangu nyumbani harakaharaka niiwahi Taarifa ya habari ya Chanel Ten.
Najaribu kuwasha, a, wapi bwana wenyewe wameshaiondoa kwenye orodha ya Chanel za bure kitambo!
Kuona hivo nikajaribu ITV wapi
Star T V chenga
Na nyingine kama hizo pia wameramba!
Wameniachia ile ambayo siitazamagi tu!
Ni hakika namba naisoma na kuiandika!
Sent from my itel_it1701 using JamiiForums mobile app