Jamani am back.....kabinti kangu!!!

Shishi

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
1,242
39
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri kweli!! wacha tu niendelee kulea..... hope nyote muwazima wa afya!
 

Attachments

  • 27052011(010).jpg
    27052011(010).jpg
    218.4 KB · Views: 294
hongera sana shishi kwa kulea,ndo ukubwa huo!
hebu mkuze huyo binti kwa upendo mkubwa,
huwezi jua anaweza kuwa firstlady wa kamanda wangu!!!!!
 
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri kweli!! wacha tu niendelee kulea..... hope nyote muwazima wa afya!

Kudos Shishi....
 
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri kweli!! wacha tu niendelee kulea..... hope nyote muwazima wa afya!

Hongera zako Shishi...bado tunataka kukusilimisha ili uwe mbongo. Kama uko tayari sema tukutumie forms za usajili haraka sana hahahaha lol!...Kila la heri katika malezi.

YouTube - ‪Whitney Houston - Greatest love of all‬‏
 
Hongera Shishi...

Yani mmeo ana roho mbaya kweli.... hakukuachia kitu kwenye hiyo sura...kachukua yote...dah!

BTW angalia bado mdogo huyo, usimbemende (Sijui ndo umbea wenyewe huu)
 
Hongera Shishi dear..............Mungu atukuzie ka binti ketu kwa afya njema.
 
Hongera sana Mungu akujalie uendelee kumlea kwa maadili mema kabisa ya kiafrika
 
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri kweli!! wacha tu niendelee kulea..... hope nyote muwazima wa afya!
Hongera sana She's beautiful baby girl.

attachment.php
 
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri kweli!! wacha tu niendelee kulea..... hope nyote muwazima wa afya!

Hongera sana mpenzi na baba yake kwa malezi!..So good to see you back, nilikumisije yani acha tu!!!!
Kisses to your cute little princess..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom