Hata mie nimewaza hiliNawaza tu mama zetu kabla ya vyupi walikuwa wanavaa nini kujistiri na vipi kipindi cha hedhi nini kilikuwa mbadala!? 🤔
Point no 6.. imemfanya afanye tafiti zilizompelekea kupata point 1-5[emoji23][emoji23][emoji23]... kama shida ni kubana na joto kwanini asishauri wanawake wasivae nguo nzito za kubana kama jeans?
Chupi hazina shida shida ipo kwenye majeans na manguo ya kubana wanawake wanayovaa.
Anasema mnateseka, huwa zinawawasha na kuwachubua[emoji23][emoji23]Yaani tena bora hata angekuwa mwanamke mwenzangu ningemuelewa ila ni mwanaume halafu anatushauri wanawake tusivae chupi kwa sababu kama hizo? Hivi anadhani kwa wanawake ni rahisi kutoka bila kuvaa chupi kama ilivyo kwa wanaume?
Kwani anayechubuka ni yeye au sisi? Aende zake kuleAnasema mnateseka, huwa zinawawasha na kuwachubua[emoji23][emoji23]
Wewe ndo huyo hapo kwenye picha?Navaaga nikiwa kwenye sayari tu vinginevyo chupi nina uadui nayo sana mwaka wa tatu huu na kuna mabadiliko positive nayafeel
kuwa wanawake wanavaa chupi na bukta.Inakera sana
Vp tunao kata vijinsi nakuvaa Kama chupi kuna tatizo?
OkayNingeringa
Sio mimi
Tuko pamoja da sophymie nikiwa ndani ya kijora au dera sihitaji huo utumwa. Nazivaa kwa kujistiri hedhi tu bas