jamani ache Mungu aitwe Mungu

hahaha....hivi MadameB ushawahi sikia sauti ya Tyson?...huwezi amini ndio anamiliki ule mwili jumba

Mweeh!
Kuna siku alinipigia simu eti amemaind flag yangu,
nikamchomolea mwenzangu,
kisa cha kuvunjwa ugoko...!!!
Chakufia...akhaa..!!!
Vp sauti yake mwanana?
 
duh charminglady umefikiria nini?
anyway mimi kitu kinachonishangaza, hata kuwe na giza vipi,bado mkono haukosei kinywa

hahahaa, shikamoo baba. habari za nyumbani? mama hajambo?
 
Last edited by a moderator:
Mweeh!
Kuna siku alinipigia simu eti amemaind flag yangu,
nikamchomolea mwenzangu,
kisa cha kuvunjwa ugoko...!!!
Chakufia...akhaa..!!!
Vp sauti yake mwanana?

sauti nyororo,nadhani nyoka wote waliopangoni wanaweza kutoka
 
hahahaa, shikamoo baba. habari za nyumbani? mama hajambo?
..naona kuna mambo yasiyokuwa na heshima yalikuwa yanaendelea huko.

..sasa naelewa kwanini walisubiri mwezi mtukufu uishe ndiye wafanye madudu yao.

..hebu oneni kama hao kina mama watatu hapo. hivi kweli hiyo ni picha ya heshima kweli??



 
Ng'ombe kula majani na kutoa maziwa tu ndipo ninaposhangazika mimi hapo!!!

Au mtoto aanzae kujifunza kuongea kutamka neno 'mmama' badala ya 'bbaba' kwa mara ya kwanza ndipo ninaposhangaa mimi!!

me bado nashangaa mwanangu aliwezaje kukaa ndani ya tumbo langu kwa muda wa miez tisa! dah ni ajabu. . .
 
Kinachonishangaza mimi ni babu asprin anavyoweka thread ndani ya thread! Kuzeeka bwana... Roho inataka mwili unashindwa yaani dhaifu.
 
me bado nashangaa mwanangu aliwezaje kukaa ndani ya tumbo langu kwa muda wa miez tisa! dah ni ajabu. . .

Yani ndo hapo,
na mtu unashindwaje kubeba gunia la kilo 70 wakati binadamu mwenye uzito huo huweza kubebwa tena kama karatasi...??!!!
 
Watz kuikubali cdm kwa kasi hivi inanishangaza sana
 
pole sana ndugu yangu. Kuna kitu inaitwa 'workers compensation act' kupitia sheria hii atalipwa.
 

kabla ya kudai haki lazima uzingatie mambo kadhaa!
1. Lazima kuwe na mkataba wa kazi unao onesha malipo!
2. Huyo dada yako lazima awe ni mke anaye tambulika kisheria na alisha orodheshwa na marehemu kama mke haalali kwani pesa hawezi pewa mtu yeyote kisa kasema alikuwa ni mke wa marehemu(nazumgumzia uthibitisho)
3. Lazima uzingatie kuwa ajali marehemu aliipata wakati akitimiza majukumu ya kazi au lah?

Kwa swala la boss kugharamia msiba inategemea kwenye namba 3 hapo juu. Kwani kama alipata ajali katika shughuli binafsi alicho fanya boss ni huruma yake.

Na hiyo haibebi huhalali wa wakuwa amesha maliza kazi yake kama mwajili ndio hapo tunakuja kwenye mapitio ya mkataba wa ajira na haki za mfanya kazi.


Mambo kama ya mafao bado ana haki ya kufatilia kama mume wake alikuwa mteja wa hiyo mifuko.
NB. Babu pole sana
 
Kinachonishangaza kwa nini iliitwa aspirini
 

:biggrin1: eti pokopokopoko yaani topics zako just amaze me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…