Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 288
Wewe ni she au he? Tuanze na hapo kwanza
Jikaze wewe mbona mimi bodi hainitambui,na niwiki yangu ya 7 katika field.Na nipo mkoa ambao ndugu zangu hawapo kabisa(siyo hawapo karibu) na natarajia wiki ijayo nimalize.
Wacha kulalamika,na silipwi hata senti,The way unavolialia shida hata ukipewa kazi watatumia madhaifu yako.
Kwanza inaonekana hujazoea shida,endelea kutafuta field za karibu na ndugu zako. Hao ndugu kama wanakupenda hawajui kuna MPESA?TGOPESA?
Ushaniuzi kwanza,unataka useme wewe ndo wakwanza kusoma?[/QUOpole kwa kukuudhi, watu 2natofautiana ndugu, unataka niannounce apa kma nna magonjwa binafc pia!! Hongera kwa kupata field, na endelea kukomaa ivyoivyo wangu
Jikaze wewe mbona mimi bodi hainitambui,na niwiki yangu ya 7 katika field.Na nipo mkoa ambao ndugu zangu hawapo kabisa(siyo hawapo karibu) na natarajia wiki ijayo nimalize.
Wacha kulalamika,na silipwi hata senti,The way unavolialia shida hata ukipewa kazi watatumia madhaifu yako.
Kwanza inaonekana hujazoea shida,endelea kutafuta field za karibu na ndugu zako. Hao ndugu kama wanakupenda hawajui kuna MPESA?TGOPESA?
Ushaniuzi kwanza,unataka useme wewe ndo wakwanza kusoma?[/QUOpole kwa kukuudhi, watu 2natofautiana ndugu, unataka niannounce apa kma nna magonjwa binafc pia!! Hongera kwa kupata field, na endelea kukomaa ivyoivyo wangu
Kwanza unajina la dada yangu aliyeniachia ziwa. Ndo mana nimekuwa nimekasirika kukuona unang'ang'ania field huko.
Hapa ungeitaji field ya hiyo kozi yako ningeweza hata kuhangaika kukuangalizia. But u do not want to get IPT away from your family.well and good.
Kwanza unajina la dada yangu aliyeniachia ziwa. Ndo mana nimekuwa nimekasirika kukuona unang'ang'ania field huko.
Hapa ungeitaji field ya hiyo kozi yako ningeweza hata kuhangaika kukuangalizia. But u do not want to get IPT away from your family.well and good.
if u want 2 help, go on bro..,
if u want 2 help, go on bro..,
Tupo na jamaa wa udsm hapa wanakula shida,na wala hawalalamiki, nashangaa wewe.
Unaweza kuni inbox kama utaitaji MSAADA WA FIELD.
lakin inavyoonekana mtoa mada si mvulana ni msichana,jaribu kubalance gender au usizungumzie kabisa kama huna uhakika na u he or u she wake.
Tupo na jamaa wa udsm hapa wanakula shida,na wala hawalalamiki, nashangaa wewe.
Unaweza kuni inbox kama utaitaji MSAADA WA FIELD.
ok
dogo jiajiri mwenyewe mbona mnapenda sana mteremko
sijasema lazima wanilipe mkubwa, nje ya dar cwez kutokana na izo sababu, ni heri nifanye dar coz ma family iko apa, tofaut na nikiwa mbalh, hv sielewek labda
Baki Dar hutaki field wewe
cdhani kama nimeandika upuuzi mkubwa, may b wewe ndo umeelewa kipuuz...
uandikaji wako ipo siku utakuponza!!......
wamekariri kila aliyeko jf ni he..
nakumbuka sisi wakati tunasoma chuo, mambo ya field yalikuwa yanafanywa na utawala sie ni kuripoti tuu! coz sidhani kama now mtu unaweza kwenda bungeni eti kuomba kufanya field, ila mimi nilifanya zote mbili pale! hongera sana kwa uongozi mzuri wa chuo chetu during that time naona siku hizi mambo yamebadilika mpaka mnajitafutia
Yani wewe hata uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana!Huyu dogo ameomba field wewe unaleta mambo ya wakati wenu mnasoma so what?umemsaidiaje huyu anayejitafutia field mbona unakua kubwa jinga? Dogo nitumie email yako ili nikuunganishe kwa jamaa yangu au ofisini kwangu uniambie ufanye field