Malinzi aondoke Ili mpira wetu ukue full stop.Mkuu usikwazike na swali ninalokwenda kukuuliza.
Kwa kuwa una kiu ya kuona mpira wetu unakua kwa kiwango cha akina Messi na Ronado imekuwaje mwanao umemuacha anakata viuno akudo sound?
Unataka nani acheze? Au unataka Jamali amchukue na Dioniz awe kipa na ndugu zake wengine wawe viungo na mabeki wapatiemo na washambuliaji ndio wakawashinde wakameroon?
Kwa nini hutaki kujikubali kuwa uwezo wa uchezaji wetu ni viwango vya Juma Nyoso?
Otherwise eleza mlitaka Jamali Malinzi afanye nini ambacho hajafanya.
Habari ya "kupaisha mpira" kwenye steji za mzee yusufu labda inawezekana.
jamaa anaitwa frank wanjiru akikuskia unayoyasema hayo utaisoma namba mzee, ana hisa na malinziHuyo malinzi aondoke tu,hakuna alichofanya ..mafanikio pekee aliyofanya ni kuwafungia watu miaka na kupora pesa za vorabu kinguvu eti kwaajili ya soka la vijana,sijui ooh taifa staz maboresho...atoke zake
Hakuendesha ligi?Malinzi aondoke Ili mpira wetu ukue full stop.
Mkuu hawa watu wapinga Malinzi ni vigumu sana kuwaelewa wakitakacho ndio mimi na wasiwasi kuwa labda walitaka Malinzi awarudishie asante yao mifukoni na wala sio kuleta maendeleo ya soka letu through leadership.Mkuu usikwazike na swali ninalokwenda kukuuliza.
Kwa kuwa una kiu ya kuona mpira wetu unakua kwa kiwango cha akina Messi na Ronado imekuwaje mwanao umemuacha anakata viuno akudo sound?
Unataka nani acheze? Au unataka Jamali amchukue na Dioniz awe kipa na ndugu zake wengine wawe viungo na mabeki wapatiemo na washambuliaji ndio wakawashinde wakameroon?
Kwa nini hutaki kujikubali kuwa uwezo wa uchezaji wetu ni viwango vya Juma Nyoso?
Otherwise eleza mlitaka Jamali Malinzi afanye nini ambacho hajafanya.
Habari ya "kupaisha mpira" kwenye steji za mzee yusufu labda inawezekana.
Mkuu mimi anikumbuke kwa lipi atanisaidia nini huyo jamaa labda mawazo ila siyo pesa ninazo zinanitosha !
Jamal Malinzi alikua na team yake humu jamvini tena walitaka kumuengua kumbuka kipindi kile watu walishachoka akina Tenga basi wakaungana kumpigia kampeni huyo jamaa ebu angalia ata ID yake kuwa alianza kuwa member lini utakuta kipindi hicho hicho.
Sometime hizi anonymous ID zinafanya tunadharauliana sana hapa jamvini mi Leo nimeombe hela kwa Malinzi ili iweje ?
GENTAMYCINE Masunga Maziku Jr okwi boban sunzu Masuke na wengine njooni huku.
Yaani hawa ni rahisi kuwaita "wapiga dili"Mkuu hawa watu wapinga Malinzi ni vigumu sana kuwaelewa wakitakacho ndio mimi na wasiwasi kuwa labda walitaka Malinzi awarudishie asante yao mifukoni na wala sio kuleta maendeleo ya soka letu through leadership.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kabla yake yeye mbona haukukua?Malinzi aondoke Ili mpira wetu ukue full stop.
Wewe hata kuandika hujui,hao waliokupa hii kazi ni mambumbumbu kama wewe.Huyo malinzi aondoke tu,hakuna alichofanya ..mafanikio pekee aliyofanya ni kuwafungia watu miaka na kupora pesa za vorabu kinguvu eti kwaajili ya soka la vijana,sijui ooh taifa staz maboresho...atoke zake
Hawa wote ni njaa tupu,mfano mzuri Malinzi anapeleka timu ya Taifa nje kwa maandalizi ya match kuna wapuuzi walianzisha Uzi hapa kupinga hilo swala eti Malinzi anakula hela.Yaani hawa ni rahisi kuwaita "wapiga dili"
Maana haijulikani wanataka nini.
Angekuwa ameahindwa kuendesha ligi ningewaelewa kuwa anadumaza mpira.
Lakini wachezaji wetu wanatulizia mpira ugokoni unategemea nini?
Walioenda kufanya majaribio nje ya nchi ili wacheze soka la kulipwa tunaona wanarudi na visingizio kibao!
Ingekuwa mpira wetu mkubwa kihiivyo kama wanavyojipiga vifua basi wachezaji wetu wa kulipwa wangekuwa kichele au sio bwana eeh!
Watueleze walitaka Jamal Malinzi awe winga au straika?
Kasi ya nini,ya kukupiga katerero?Mmmmmm,malinzi sii kiongozi mzuri kwa upande wangu hana kasi.
Ameharibu jambo gani?Malinzi akishinda nitashangaa mwezi mzima ! Ameharibu misingi ya adminstration bora aliyoijenga Tenga ovyo kabisa
Mkuu hamna Ata kombora moja hapo , mi nimekuita kama mdau wa mpira wetu huko nchini utoe comment yoyote kuhusu hili la malinzi kugombea tena. KaribuUmeniita nije nikutetee kwa ' makombora ' uliyoshushiwa au unataka na Mimi nichangie kuhusu suala zima la Rais wa TFF Jamal Malinzi?
Mbona hujajibu hoja zangu?Mkuu hamna Ata kombora moja hapo , mi nimekuita kama mdau wa mpira wetu huko nchini utoe comment yoyote kuhusu hili la malinzi kugombea tena. Karibu
Hoja gani mkuu kwamba nataka afanye nini ?Mbona hujajibu hoja zangu?
Mkuu hamna Ata kombora moja hapo , mi nimekuita kama mdau wa mpira wetu huko nchini utoe comment yoyote kuhusu hili la malinzi kugombea tena. Karibu
Nyinyi ndio mlimchagua awe rais wenu na sisi wadau tumejikuta amekuwa rais wa mchezo tunaoupenda.Hoja gani mkuu kwamba nataka afanye nini ?
Mimi nataka aondoke sababu hajui anachokifanya anaangalia maslahi binafsi na ukanda tu . Hivi unaweza ukanambia kuwa kafanya kitu gani kikubwa katika soka la bongo. ?
Mwenye macho aambiwi tule kalagha bao mtoto wa Malinzi mdogo wa DivaAmeharibu jambo gani?
Lielezee tukuelewe. Achana na umajumui kujibu hoja kama alivyokuwa akijibu Juma Ngasongwa enzi zake.