Jamaa yangu anataka kumfumania mke wake leo

Jamaa yangu anataka kumfumania mke wake leo

bitebo7

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2015
Posts
858
Reaction score
601
Jamani leo saa kumi jioni kuna rafiki yangu anaenda kumfumania mkewe. Amepewa information zote kuhusu mke wake na guest ambayo huwa anapenda kuitumia wanapokutanaga na huyo mtu wake.

Sasa hapa ameniuliza nini cha kufanya endapo akifika na kumfumania mkewe aanze na kufanya nini?

Kaeni tayari kwa mrejesho
 
bitebo7

Unadhani Kwa Kutuambia Kwako Hivi Halafu Bahati Nzuri au Mbaya Huyo Demu Wa Mchizi Wako Mimi Sasa Nipo Nae Guest House / Lodge Nimeona Huu Uzi Wako Nitaendelea Tu Kubaki Hapo? Sijipendi au? Ila Wazinzi Wa Wake Za Watu Wanakushukuru Mno Kwa Kuwatonya Kuhusu Dhahama Ambayo Ingewakuta Huko Walipo Na Sasa

Kama Nawaona Vile Wanaume Waliolala au Wanaojiandaa Kulala Sasa Na Mademu Za Watu Wanavyohangaika Kuhama Ktk Nyumba Za Kulala Wageni Walizo Check Inn. Siku Nyingine Usiwe Unatoa SILAHA Zako Kwani Hutomkamata Mtu Yoyote Kwa Ugoni Bali Kimbiza Mwizi Kimya Kimya!
 
Last edited by a moderator:
Anaenda kufumania ili aweje au apate nini??????? kama mwanamke kachepuka ajue kwake kuna kitu kinamisi pesa au nguvu za kiume.

Akae tu aboreshe hayo ili mwanamke atulie,, asiende kujidhalilisha huko bure.
 
Anaenda kufumania ili aweje au apate nini??????? kama mwanamke kachepuka ajue kwake kuna kitu kinamisi pesa au nguvu za kiume.

Akae tu aboreshe hayo ili mwanamke atulie,, asiende kujidhalilisha huko bure.

nadhani kakuelewa kbs tna bila hat chenga habari ndo hiyooooo!!!!!
 
Huo ni ujinga tu,
anaenda kujiaibisha, amwambie mkewe kuwa ana mpango wake wote hivyo aache uzinzi.
Kufumania anataka aibu tu huyo.
 
kama taarifa zako ni za kweli basi ujue walengwa wa fumanizi wamekwishastuka na tayari wamekwishahamisha viwanja.

zege hailali na mzigo lazima utuliwe tu. mshauri mshikaji wako kwamba kuliko kuhangaika kufumania bora atoe tu talaka ili abaki na heshima yake. akijidai kwenda kufumania ndio ajue na heshima yake inaishia hapo hapo bila kujali adhabu gani ataitoa kwa mgoni wake.
 
Mshauri amoigie simu mkewe amwambie uchafu wake wote anaoufanya anaujua na mkakati wake Wa Leo anaoutaka kuufanya anazo taarifa zake amwangalie mwenendo wake kuliko kwenda kujiabisha ukiona kakuomba ushauri ujue anampenda mke wake na ajui cha kufanya
 
Kama hana mpango wa kumuacha mwambie asiende kabisa, amalizane na mke wake chumbani kwake. kama anataka kuachana naye basi aende na wapiga picha kabisa kazi ishie pale pale
 
Kama hana mpango wa kumuacha mwambie asiende kabisa, amalizane na mke wake chumbani kwake. kama anataka kuachana naye basi aende na wapiga picha kabisa kazi ishie pale pale

Jamaa nipo nae hapa lakini ni mbishi ile mbaya
 
Mshauri amoigie simu mkewe amwambie uchafu wake wote anaoufanya anaujua na mkakati wake Wa Leo anaoutaka kuufanya anazo taarifa zake amwangalie mwenendo wake kuliko kwenda kujiabisha ukiona kakuomba ushauri ujue anampenda mke wake na ajui cha kufanya

Nimemwambia anasema hataki mpaka aende akashuhudie kwa macho yake
 
kama taarifa zako ni za kweli basi ujue walengwa wa fumanizi wamekwishastuka na tayari wamekwishahamiza viwanja.

zege hailali na mzigo lazima utuliwe tu. mshauri mshikaji wako kwamba kuliko kuhangaika kufamania bora atoe tu talaka ili abaki na heshima yake. akijidai kwenda kufumania ndio ajue na heshima yake inaishia hapo hapo bila kujali adhabu gani ataitoa kwa mgoni wake.

Nimekosea
Ila sizani kama watakua wameshajua
 
Anaenda kufumania ili aweje au apate nini??????? kama mwanamke kachepuka ajue kwake kuna kitu kinamisi pesa au nguvu za kiume.

Akae tu aboreshe hayo ili mwanamke atulie,, asiende kujidhalilisha huko bure.

Kuhakikisha alichoambiwa
 
Mwambie hivi kama ameamua kufanya hivyo afanye lakini asimdhalilishe mkewe.
Akishathibitisha kwa macho yake, amuache hapo naye arudi nyumbani bila kusema kitu na kama huyo mama atakuwa jasiri wa kuweza kurudi nyumbani nashauri msilale chumba kimoja maana inawezekana kabisa kutokana na maumivu aliyoyapata akafanya jambo la kumdhuru huyo mama. baada ya hapo aite wazee wake na kama patakosekana muafaka basi waachane vizuri. Lakini suali moja ni kwamba kwa nini sisi wanaume tukifumaniwa na wake zetu kwao inakuwa rahisi kutusamehe kuliko sisi kuwasamehe wao??
 
bitebo7

Unadhani Kwa Kutuambia Kwako Hivi Halafu Bahati Nzuri au Mbaya Huyo Demu Wa Mchizi Wako Mimi Sasa Nipo Nae Guest House / Lodge Nimeona Huu Uzi Wako Nitaendelea Tu Kubaki Hapo? Sijipendi au? Ila Wazinzi Wa Wake Za Watu Wanakushukuru Mno Kwa Kuwatonya Kuhusu Dhahama Ambayo Ingewakuta Huko Walipo Na Sasa

Kama Nawaona Vile Wanaume Waliolala au Wanaojiandaa Kulala Sasa Na Mademu Za Watu Wanavyohangaika Kuhama Ktk Nyumba Za Kulala Wageni Walizo Check Inn. Siku Nyingine Usiwe Unatoa SILAHA Zako Kwani Hutomkamata Mtu Yoyote Kwa Ugoni Bali Kimbiza Mwizi Kimya Kimya!

Mh! Kama kweli vile
 
Last edited by a moderator:
Mwambie jamaa asiende kabsa anaweza kufika eneo la tukio akazima yey mweyew mgoni wake akaimbia kwn ,Hawa jamaa huwa wanasifa sana utamkuta mkeo amekunjwa utadhani kiwete,shingo kule,kichwa chini,mguu dirishani,kainamishwa kama anazibua choo.....aaaaagghh jamani, kuwe na huruma na wake za watu. wagongeni kistaarabu
 
Mwambie hivi kama ameamua kufanya hivyo afanye lakini asimdhalilishe mkewe.
Akishathibitisha kwa macho yake, amuache hapo naye arudi nyumbani bila kusema kitu na kama huyo mama atakuwa jasiri wa kuweza kurudi nyumbani nashauri msilale chumba kimoja maana inawezekana kabisa kutokana na maumivu aliyoyapata akafanya jambo la kumdhuru huyo mama. baada ya hapo aite wazee wake na kama patakosekana muafaka basi waachane vizuri. Lakini suali moja ni kwamba kwa nini sisi wanaume tukifumaniwa na wake zetu kwao inakuwa rahisi kutusamehe kuliko sisi kuwasamehe wao??

ndungu nadhan unaongea usichokijua,, yaani ni mke wako wa ndoa unakuwa unajua kabisa mida flani mkeo ana appointment ya kwenda kuliwa huko nje nå njemba flani halafu unamwacha anaenda kugegedwa vizuuri anardi nyumbani eti hamlali pamoja unasubiri mpaka uite wazee waje wawasuruhishe? utakuwa ni zaidi ya ----- Hata kama nilibwata sio kihivyo bac
 
Nimemwambia anasema hataki mpaka aende akashuhudie kwa macho yake
Mwache akashuhudie Kwa macho na akicheza awaingizie kipato wakina shigongo kwenye magazeti yao na kubaki na msongo Wa mawazo
 
Mwambie jamaa asiende kabsa anaweza kufika eneo la tukio akazima yey mweyew mgoni wake akaimbia kwn ,Hawa jamaa huwa wanasifa sana utamkuta mkeo amekunjwa utadhani kiwete,shingo kule,kichwa chini,mguu dirishani,kainamishwa kama anazibua choo.....aaaaagghh jamani, kuwe na huruma na wake za watu. wagongeni kistaarabu

Ngumu kumeza
 
Wandugu sasa ndio tupo eneo la tukio kwa pembeni kidogo tukiwa tumetega hapa
Subiri kazi iiishe ili nije na mada iliyokamilika
 
Back
Top Bottom