BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Kama hajui cha kufanya anaenda kufumania ili iweje??????
Jamani leo saa kumi jioni kuna rafikiangu anaenda kumfumania mkewe. Amepewa information zote kuhusu mkewake na guest ambayo huwa anapenda kuitumia wanapokutanaga na huyo mtu wake.Sasa hapa ameniuliza nini cha kufanya endapo akifika na kumfumania mkewe aanze na kufanya nini?
Kaeni tayari kwa mrejesho