KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,724
- 12,084
Umnunulie dawa "ya mswaki" afu mwambie awe anatumia.Habari!
Ni mshkaji niliefahamiana nae mwaka jana na tuna miezi kama tisa kwenye urafiki, ila mdomo wake unatoa harufu mbaya tukiwa katika katika mazungumzo. Sijajua shida ni hapigi mswaki vizuri, huwa hapigi mswaki kabisa au anapiga kwa matukio.
Hii hali nilikuwa najitahid kuivumilia kwa kumkwepe kwepa akinielekezea mdomo lakini leo katika story za hapa na pale kuhusu mwenendo wa UEFA naona harufu imekuwa kali zaidi ikabid nipunguze stor ili maongezi yasiwe mengi sana.
Hali kama hizi huwa mnapambana nazo vipi? Maana naona aibu kumwambia ila natamani sana awe na kinywa kisicho na harufu, isitoshe sisi bado ni vijana kabisa.
Naomba Ushauri wenu wakuu.
Natanguliza shukrani.
Wanaita Halitosis!Halafu nimegundua watu bado wana uelewa mdogo na hili tatizo, hili tatizo mara nyingi huwa ni la kiafya zaidi na wala si upigaji mswaki. walio wengi wanapiga mswaki vyema tu ila tatizo bado lipo pale pale.
Bora aloteze amani kwko kuliko awanyime amani watu wengiShukran mkuu ingawa nikiwaza kumchana live naona kama jamaa atakuwa anapoteza amani
Rafiki wa kweliNilipata kuwa na rafiki kama huyo, ilikuwa ni changamoto sana wakati wa kupiga story hasa wakati wa kazi za pamoja maana tulikuwa tunafanya kazi ofisi Moja.
Nilichofanya ni kwenda hosp moja wana deal na vinywa na meno maeneo ya Philips Arusha nikamweleza Dr akanambia ni vema niende nae pale.... waht i dd nikamwambia kesho yake anisindikize nina tatizo la jino so kwa kuwa tulikuwa tayar tumepanga na Dr. tulipofika pale mi niliingia nikachekiwa kwa kuzuga niliptoka nikamwambia Dr akamwambia hello njoo na weee tukuchek bana unajua ugonjwa sio lazima uje ushindwe kutembea...nashukuru jamaa alioata tiba na hadi sasa ni mzima hatoi fumes mbaya yyt. Baadae nikimweleza what i dd nalifurahi sana na alikiri ni jambo lilikuwa linamtatiza maana wadogo walikuwa wanamweleza live anapoongea nao.
Kama upo na nia njema ya kumsaidia jaribu njia hiyo nasikia tatizo lipogo kwenye mfumo wa kinywa kwa ujumla wake na lipo ndani sio suala la kupiga mswaki pekee!!
You are so sweet, May God bless you!Nilipata kuwa na rafiki kama huyo, ilikuwa ni changamoto sana wakati wa kupiga story hasa wakati wa kazi za pamoja maana tulikuwa tunafanya kazi ofisi Moja.
Nilichofanya ni kwenda hosp moja wana deal na vinywa na meno maeneo ya Philips Arusha nikamweleza Dr akanambia ni vema niende nae pale.... waht i dd nikamwambia kesho yake anisindikize nina tatizo la jino so kwa kuwa tulikuwa tayar tumepanga na Dr. tulipofika pale mi niliingia nikachekiwa kwa kuzuga niliptoka nikamwambia Dr akamwambia hello njoo na weee tukuchek bana unajua ugonjwa sio lazima uje ushindwe kutembea...nashukuru jamaa alioata tiba na hadi sasa ni mzima hatoi fumes mbaya yyt. Baadae nikimweleza what i dd nalifurahi sana na alikiri ni jambo lilikuwa linamtatiza maana wadogo walikuwa wanamweleza live anapoongea nao.
Kama upo na nia njema ya kumsaidia jaribu njia hiyo nasikia tatizo lipogo kwenye mfumo wa kinywa kwa ujumla wake na lipo ndani sio suala la kupiga mswaki pekee!!
Wala c kilevi mkuu...atakuwa anakaa muda mrefu bila kula ...mtaani wanaita pasi ndefuSema jamaa hatumii kilevi labda kama anatumia kimya kimya.
Kati ya sababu ya kunuka mdomo na kutoa harufu kali ya jasho ni pamoja na magonjwa ya ngozi pia, naomba yeye na wengine wenye matatizo hayo wafanye vipimo vya magonjwa ya ngozi kama fungus / mmba. Kama itabainika wana hilo tatizo watumie dawa za ngozi.Habari!
Ni mshkaji niliefahamiana nae mwaka jana na tuna miezi kama tisa kwenye urafiki, ila mdomo wake unatoa harufu mbaya tukiwa katika katika mazungumzo. Sijajua shida ni hapigi mswaki vizuri, huwa hapigi mswaki kabisa au anapiga kwa matukio.
Hii hali nilikuwa najitahid kuivumilia kwa kumkwepe kwepa akinielekezea mdomo lakini leo katika story za hapa na pale kuhusu mwenendo wa UEFA naona harufu imekuwa kali zaidi ikabid nipunguze stor ili maongezi yasiwe mengi sana.
Hali kama hizi huwa mnapambana nazo vipi? Maana naona aibu kumwambia ila natamani sana awe na kinywa kisicho na harufu, isitoshe sisi bado ni vijana kabisa.
Naomba Ushauri wenu wakuu.
Natanguliza shukrani.
Vipi na wale wenye mgando mgando sijui ukoko wa njano na kijani ivi (sidhani kama nishawahi kusikia anatoa harufu mbaya kinywani mana nipo nae mikoa tofauti)1. Mchunguze kama ana Cavities / ukoko kwenye meno juu ya fizi. Atumie Hydrogen Peroxide.
Siku hizi Kuna Whatsapp status andika ujumbe Hapo naa Picha ya Hydrogen Peroxide.
2. Kuna kunuka kinywa Kwa ajili ya njaa, harufu inatoka Tumboni. Ale Kwa wakati.
3. Kunuka kinywa toka kwenye oesophagus. Kusafisha Oesophagus Kwa kunywa Maji ya vuguvugu kitu Cha kwanza asubuhi kutazuia harufu ya mabaki ya chakula.
4. Damu kujaa kinywani kutokana na fizi kutumia husababisha harufu pia. Asukutue na maji chumvi Kila baada ya mlo.
Narudia Tena Tumia Wasap status au tafuta mtu arekodi kuhusu watu wanaonuka vinywa TIKTOK Kisha Share mara nyingi Hadi aipate.
Mkuu mimi nadhani hii sio nzuri kwa sababu atahisi unakua unamsimanga. Kwangu njia bora nadhani ni kumwambia live katika namna ya kumsaidia au kuna jamaa kasema azuge kama anamsindikiza hospital then wakifika huko dokta anamaliza kila kitu.1. Mchunguze kama ana Cavities / ukoko kwenye meno juu ya fizi. Atumie Hydrogen Peroxide.
Siku hizi Kuna Whatsapp status andika ujumbe Hapo naa Picha ya Hydrogen Peroxide.
2. Kuna kunuka kinywa Kwa ajili ya njaa, harufu inatoka Tumboni. Ale Kwa wakati.
3. Kunuka kinywa toka kwenye oesophagus. Kusafisha Oesophagus Kwa kunywa Maji ya vuguvugu kitu Cha kwanza asubuhi kutazuia harufu ya mabaki ya chakula.
4. Damu kujaa kinywani kutokana na fizi kutumia husababisha harufu pia. Asukutue na maji chumvi Kila baada ya mlo.
Narudia Tena Tumia Wasap status au tafuta mtu arekodi kuhusu watu wanaonuka vinywa TIKTOK Kisha Share mara nyingi Hadi aipate.