Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
na kwa mjamzito, eti mtoto atazaliwa bila nywele
au kama ni binti, ataolewa mbali na nyumbani.
au kama ni binti, ataolewa mbali na nyumbani.
Wanawake wakila vitamu watashindwa kuwalea watoto halafu kama ananyonyesha maziwa yanaweza kuharibika. By mababu zetu