Jamaa wanajenga afya... Naona wivu jamani.

Jamaa wanajenga afya... Naona wivu jamani.

Romantic name = Romance na mtu? ??!

Haya mlale salama.

si unajua kizungu tabu mama, nisamehe bure.
Thanks kwa wish yako, though mwenzio silali niko lindo hapa Airport @KK Security...
 
Kumbikumbi sitaki hata kuwasikia,i hate hawa wadudu since young.
 
weee, kwenye kichuguu
walikuwepo wale wadudu wengine
kama masiafu yana vichwa vipana kama dole gumba
basi huwa yanawalinda kumbi kumbi

dah, ilikuwa karibu na kanisa
sasa hivi wameshaviharibu vichuguu vyote

I miss those days.
ni nowmer.
Mvua ilikuwa defining moment nilipokuwa mtoto, wakubwa wanapanda, mie natafuta kumbikumbe.
Sie kwetu hakuna askari wala nge, full wadudu wa kuliwa tu.
 
Kumbikumbi sitaki hata kuwasikia,i hate hawa wadudu since young.

nini tena mamaya?
Jaribu kula bwana, ukikuta wamekaushwa vizuri tena wa kukaanga bila mafuta? Very tasty...
 
weee, kwenye kichuguu
walikuwepo wale wadudu wengine
kama masiafu yana vichwa vipana kama dole gumba
basi huwa yanawalinda kumbi kumbi

dah, ilikuwa karibu na kanisa
sasa hivi wameshaviharibu vichuguu vyote

I miss those days.

dah?
Kipande ipi hiyo mrembo? Sie ilikuwa karibu na mpaka wa Kenya, wakati wa mvua hakuna siafu, ila kuna wadudu fulani wa brown wanafanana nao, wanapenda sana kuja kwa jiko.
 
weee, kwenye kichuguu
walikuwepo wale wadudu wengine
kama masiafu yana vichwa vipana kama dole gumba
basi huwa yanawalinda kumbi kumbi

dah, ilikuwa karibu na kanisa
sasa hivi wameshaviharibu vichuguu vyote

I miss those days.
Wanaitwa MCHWA.
 
Nimetazama taarifa ya habari ITV, kuna uhaba wa chakula huko Musoma Vijijini,
hali yenye imepelekea watu kula kumbikumbi na mboga za majani.
Tuache anasa pembeni, tuzungumzie nutritional factor za hilo menyu...
Full protini kwa kumbikumbi, miksa mavitamin kwa majani.
Mi nawaonea sana wivu hawa jamaa...
Do you?

wewe utakuwa siyo mzima kamwone dactar mgomo umekwisha mwambie akupime akili
 
wewe utakuwa siyo mzima kamwone dactar mgomo umekwisha mwambie akupime akili

heri yako wewe ambaye ukisoma post ya mtu unajua kama yu mgonjwa au la.
Ila si unakumbuka Eagleton's theory of learing? Understanding capacity inaweza kuathiriwa na mfundishaji au mfundishwaji. TAFAKARI!
 
wanamme wa kiafrica
vitamu vyote wanawake hamruhusiwi kula

Wanawake wakila vitamu watashindwa kuwalea watoto halafu kama ananyonyesha maziwa yanaweza kuharibika. By mababu zetu
 
Hata hao ni chakula kizuri tulikuwa tunawanasa kwa kuchomeka kinyasi ndani ya tundu halafu wanang'ata then tunawachoropoa

kama kile cha kwenye movie ya Sokwe FIFI?
 
Kwani wanapenda kula hiyo?

I guess hawapendi, na kuna watu wanawasikitikia.
Ndio maana nikasema tuache anasa zote, tujadili viinilishe katika kumbikumbi na mbogamboga.
Am I right?
 
dar es salaam hamna kumbikumbi. ukitaka kula kumbikumbi nenda pale kwa sadala karibu na boma ng'ombe moshi.
 
Kumbikumbi watamu bana,nakumbuka enzi hizo mvua zikinyesha tunaenda asubuhi kiwanjani kuwafukua,kazi inaisha saa tano asubuhi halafu baada ya hapo tunakarangiza -kula na ugali tena wa dona (si azamu) we utajing'ata...umenikumbusha mbaliiii Mphamvu.

Wapi Chumbo,Mwita,Joseph,Patrick (expert wa kumbikumbi wa kichuguuni),sadick n.k? Halafu enzi hizo hata kama kwenu ni masikini you dont feel that so much!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom