Jamaa wanajenga afya... Naona wivu jamani.

Jamaa wanajenga afya... Naona wivu jamani.

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,348
Nimetazama taarifa ya habari ITV, kuna uhaba wa chakula huko Musoma Vijijini,
hali yenye imepelekea watu kula kumbikumbi na mboga za majani.
Tuache anasa pembeni, tuzungumzie nutritional factor za hilo menyu...
Full protini kwa kumbikumbi, miksa mavitamin kwa majani.
Mi nawaonea sana wivu hawa jamaa...
Do you?
 
yes I am.
Nawatamani sana
nlipowaona wakanikumbusha enzi hizo za maziwa na asali

kitu natural hakina preservatives wala nini.
Wamenitamanisha sana.
 
Nimewahi kula kumbikumbi zamani ila sasa hivi siwezi...acha wafaidi tu.
 
so la kumbikumbi kwa watu wengine huwa tunavimba mwili mzima ukichanganya na senene utanikuta MOI nimelazwa..

endeleeni tu kula chakula cha msimu kama magimbi..
 
Nimewahi kula kumbikumbi zamani ila sasa hivi siwezi...acha wafaidi tu.

Kwetu mwanamke hatakiwi kula kumbikumbi pamoja na watoto wadogo kwa hiyo umechagua njia iliyo sahii
 
yes I am.
Nawatamani sana
nlipowaona wakanikumbusha enzi hizo za maziwa na asali

kitu natural hakina preservatives wala nini.
Wamenitamanisha sana.

mie mpaka leo nikipata nafasi nala, tena wabichi.
Those days bana, unatega kibatari kwa kichuguu by night, ole wako mama ajue? Utamjuza bei ya kerosene by the time...
 
so la kumbikumbi kwa watu wengine huwa tunavimba mwili mzima ukichanganya na senene utanikuta MOI nimelazwa..

endeleeni tu kula chakula cha msimu kama magimbi..

pole mkuu, nasikia kuna mahala wanalia ugali.
Sie kwetu twala kwa leisure, hasa watoto...
 
ila askari wao walikuwa wanauma
kama wembe

dah, nakiona na hicho kichuguu tulichokuwa tunaenda kuwashika.

mie mpaka leo nikipata nafasi nala, tena wabichi.
Those days bana, unatega kibatari kwa kichuguu by night, ole wako mama ajue? Utamjuza bei ya kerosene by the time...
 
ila askari wao walikuwa wanauma
kama wembe

dah, nakiona na hicho kichuguu tulichokuwa tunaenda kuwashika.

ni nowmer.
Mvua ilikuwa defining moment nilipokuwa mtoto, wakubwa wanapanda, mie natafuta kumbikumbe.
Sie kwetu hakuna askari wala nge, full wadudu wa kuliwa tu.
 
Romantic name = Romance na mtu? ??!

Haya mlale salama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom