Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,348
Nimetazama taarifa ya habari ITV, kuna uhaba wa chakula huko Musoma Vijijini,
hali yenye imepelekea watu kula kumbikumbi na mboga za majani.
Tuache anasa pembeni, tuzungumzie nutritional factor za hilo menyu...
Full protini kwa kumbikumbi, miksa mavitamin kwa majani.
Mi nawaonea sana wivu hawa jamaa...
Do you?
hali yenye imepelekea watu kula kumbikumbi na mboga za majani.
Tuache anasa pembeni, tuzungumzie nutritional factor za hilo menyu...
Full protini kwa kumbikumbi, miksa mavitamin kwa majani.
Mi nawaonea sana wivu hawa jamaa...
Do you?