Mr IQ
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,074
- 1,455
Jamaa usiku kucha anajamba ovyo kwa kila aina ya sauti. Mara pwii.. ! mara fyuu.. ! mara puu…! mara pyeeh..! Mara tata taa…! Mara buuu…!
Mkewe akamuuliza una nini leo ?
Akajibu nasikiliza MILIO ya makalio yangu !!! maana kuna mingine nataka kuifuta.🙂
Mkewe akamuuliza una nini leo ?
Akajibu nasikiliza MILIO ya makalio yangu !!! maana kuna mingine nataka kuifuta.🙂