Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,918
- 8,712
Mzee nimeshinda na mtoto siku mbili tu vile nilijipa ka-likizo,,, ebhana kwanza kulia nafikiri ni changamoto kubwa kuliko zote...mengine yanavumilika ila vilio vya mara kwa mara vinatia hasira kweli,,,vile unakuwa hujui anailia anataka nini..
InFact watu waliosema Wanawake inabidi uwa-treat kama watoto walikuwa sahihi,,,ndio maana wamama na watoto wanaelewana sana.
Heri ya mwaka mpya wakuu.
InFact watu waliosema Wanawake inabidi uwa-treat kama watoto walikuwa sahihi,,,ndio maana wamama na watoto wanaelewana sana.
Heri ya mwaka mpya wakuu.