Jamaa mnaonaje ugumu wa kulea watoto?

Jamaa mnaonaje ugumu wa kulea watoto?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
29,124
Reaction score
93,237
Kunya Mara kwa Mara

Kulia Mara kwa Mara, ananyamaza huyu ,huyu anaanza , na vinalia vina sababu

Kula sasa kila baada ya masaa mawili uwalishe, yaan usiku unalala kwa kuegesha , utasikia ng'aaaaaaa hiiiii tayari unaamka kulisha .

Kufua , kubadili mapampas

Hujakaa sawa vimefinyana

Kuvibadili Nguo nakuviogosha kila Mara

Juzi kakubwa kamemaliza Kunya, sasa ile nakaingiza bafuni kukasafisha.

Kurudi sebulen, nakuta kadogo kamekunyaaa, kametapakaza mavi yaan kama vile kalikua kanaseleleka

nikakapeke bafuni, nmekakosha fresh. Narudi room ,nikavalishe, sasa ile kukabeba ,kakanya yaan ndo kakaninyea kabisa nyaa

Nilikasirika sana, Mimi mwenyewe naumwa , siku tano ,nipo ndani ,sitoki popote pa mbali

Yaan huku unapika ,huku kanalia, kengine kanaporomoa vitu .

Muda wote MTU upo macho tuu.


Jumapili navirudisha...Nimechoka Wakuu.
 
Kunya Mara kwa Mara

Kulia Mara kwa Mara, ananyamaza huyu ,huyu anaanza , na vinalia vina sababu

Kula sasa kila baada ya masaa mawili uwalishe, yaan usiku unalala kwa kuegesha , utasikia ng'aaaaaaa hiiiii tayari unaamka kulisha .

Kufua , kubadili mapampas

Hujakaa sawa vimefinyana

Kuvibadili Nguo nakuviogosha kila Mara

Juzi kakubwa kamemaliza Kunya, sasa ile nakaingiza bafuni kukasafisha.

Kurudi sebulen, nakuta kadogo kamekunyaaa, kametapakaza mavi yaan kama vile kalikua kanaseleleka


nikakapeke bafuni, nmekakosha fresh. Narudi room ,nikavalishe, sasa ile kukabeba ,kakanya yaan ndo kakaninyea kabisa nyaa


Nilikasirika sana, Mimi mwenyewe naumwa , siku tano ,nipo ndani ,sitoki popote pa mbali


Yaan huku unapika ,huku kanalia, kengine kanaporomoa vitu .

Muda wote MTU upo macho tuu.


Jumapili navirudisha...Nimechoka Wakuu.
BABA GANI UNALALAMIKA KULEA WATOTO WEWE?

AU HUKUWA TAYARI KUWALEA?
 
[emoji16] kulea ni shughuli sasa hapo hawajaumwa kuna watoto wakianza kulia unaweza ukajikuta nawewe unalia maana ni balaa tupu
Aka Kadogo usiku kanalia ,unaweza mpa msosi kilioo, ukajichekesha wee kiliooo tu, unakabeba unazunguka ndani kama fala kenyewe kiliooo tuu ,utakawashia vimidoli ,wapiii kiliooo , basi ni kukabembeleza bembelezaaa, unafumba macho huku unakabembeleza eeehy eehh lalaaa lalaa laaa laaaa Mamaa lalaaa eeehhh mama ohooo lalaa
 
Aka Kadogo usiku kanalia ,unaweza mpa msosi kilioo, ukajichekesha wee kiliooo tu, unakabeba unazunguka ndani kama fala kenyewe kiliooo tuu ,utakawashia vimidoli ,wapiii kiliooo , basi ni kukabembeleza bembelezaaa, unafumba macho huku unakabembeleza eeehy eehh lalaaa lalaa laaa laaaa Mamaa lalaaa eeehhh mama ohooo lalaa
Na nyimbo ushazijua tayari hahahah kazana ndo malezi hayo.
 
Back
Top Bottom