Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,124
- 93,237
- Thread starter
- #21
Hapana urudi jumapili, kama hurudi utawakuta kwa Mama mkwe.Hahah week mbili bado lakini...
Hapana urudi jumapili, kama hurudi utawakuta kwa Mama mkwe.Hahah week mbili bado lakini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pale kenge anapoingia mkenge..[emoji23]
😆😆mbona nakuelewa sana jamanMkuuu wee nicheke tu, kwasababu u mwanamke ,huwez nielewa hapa.
Inabidi tu ufanye chochote ili anyamaze ila ni fujo sijui hawa wenzetu wanawamuduje. Last week before xmas kuna dada mmoja aliniachia mwanae kwa dakika chache asee mtoto alilia yule nkambembeleza ndani ya kama dakika 5 na alivyo mzito nikaona isiwe tabu nkamuitia mwanae.Aka Kadogo usiku kanalia ,unaweza mpa msosi kilioo, ukajichekesha wee kiliooo tu, unakabeba unazunguka ndani kama fala kenyewe kiliooo tuu ,utakawashia vimidoli ,wapiii kiliooo , basi ni kukabembeleza bembelezaaa, unafumba macho huku unakabembeleza eeehy eehh lalaaa lalaa laaa laaaa Mamaa lalaaa eeehhh mama ohooo lalaa
Nmekumisi hatimae nmekuona, habari yako?Nimejikuta nacheka mno...kha
Ni nzuri sana RB...unaendeleajeNmekumisi hatimae nmekuona, habari yako?
Inabidi tu ufanye chochote ili anyamaze ila ni fujo sijui hawa wenzetu wanawamuduje. Last week before xmas kuna dada mmoja aliniachia mwanae kwa dakika chache asee mtoto alilia yule nkambembeleza ndani ya kama dakika 5 na alivyo mzito nikaona isiwe tabu nkamuitia mwanae.
Naendelea vyema tunaumalizia mwaka, nmependa ulivyoniita RB inasaundi gudiiNi nzuri sana RB...unaendeleaje
Mshaanza [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] soon wenzako wataanza kuzungumzia hela...Hebu jikite kwenye madaWaheshimuni sana kina mama, ulezi sio kazi ndogo.
Mimi nnapenda sana watoto ila sio wale lia lia na wale wazito kwahiyo niliona najichosha bure. Dakika chache tu nikawa hoi nikavuta picha huyo mama anaeangaika nae siku nzima inakuaje? Ni upendo tu wa mama tofaut na hapo hakuna[emoji3][emoji3]
Eti na alivyo mzito!
Haisaundi kama police police hivi😄😄Naendelea vyema tunaumalizia mwaka, nmependa ulivyoniita RB inasaundi gudii
Hapana inasaundi romantiki [emoji7]Haisaundi kama police police hivi[emoji1][emoji1]
Ni vyema Na yenye kupendeza kuumaliza mwaka salama RB
Ohooo kumbeeeHapana inasaundi romantiki [emoji7]
Happy new year in advance Madam
ana njaa huyo mpe maziwaAka Kadogo usiku kanalia ,unaweza mpa msosi kilioo, ukajichekesha wee kiliooo tu, unakabeba unazunguka ndani kama fala kenyewe kiliooo tuu ,utakawashia vimidoli ,wapiii kiliooo , basi ni kukabembeleza bembelezaaa, unafumba macho huku unakabembeleza eeehy eehh lalaaa lalaa laaa laaaa Mamaa lalaaa eeehhh mama ohooo lalaa
Funzo wanalonipa hawa viumbe wangu hahahahaKuna kitu huwa tunajisahau Sana WANAUME .......ni kuwapa respect kubwa WANAWAKE......hakika wanafanya kazi kubwa.
Mimi nilienjoy hii shughuli wakati wa mchana nilipopata mwanangu wa kwanza. Nilikuwa kama chizi nazurula naye toka asubuhi mpaka jioni wakati ana miezi 5 mpaka 9.Hapana urudi jumapili, kama hurudi utawakuta kwa Mama mkwe.
huwa naangalia Animal documentaries , Mnyama yoyote jinsia ya Ke , kwa watoto anakua wakitofauti sanaa sana.Mimi nilienjoy hii shughuli wakati wa mchana nilipopata mwanangu wa kwanza. Nilikuwa kama chizi nazurula naye toka asubuhi mpaka jioni wakati ana miezi 5 mpaka 9.
Ila saaa kakua miaka 7 soon.