Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Huo ni ugonjwa wa Wanazuoni wengi, ugonjwa mwingine ni kuwaza kuajiriwa, mwingine ni kujilemza kwa kutaka vikazi vyepesi vyepesi kama kucheza na computer, vikaratasi na kalamu.
Kazi za kutumia japo nguvu kudogo hawataki ndio maana huishia kuajiriwa na ambao hawakusoma.
Kazi za kutumia japo nguvu kudogo hawataki ndio maana huishia kuajiriwa na ambao hawakusoma.