TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Teh teh teh!labda anamatatizo ya akili!Clouds fm wametangaza:amesema hashuki mpaka rais kikwete aende akamsikilize shida yake.
Inadaiwa amedhulumiwa
Teh teh teh!labda anamatatizo ya akili!Clouds fm wametangaza:amesema hashuki mpaka rais kikwete aende akamsikilize shida yake.
Inadaiwa amedhulumiwa
Teh teh teh!mbona amejipa kazi ngumu sana!Yupo busy anauzuia mwaka usiishe
Mkuu huu utakuwa ukatili wa hari ya juu sana!
Sasa Kikwete ndie alie mdhulumu? Kwanini asiite walio mdhulumu? Huyo anataka aone mwaka mpya ukiwa unakuja, anataka aone utatokea wapi?Clouds fm wametangaza:amesema hashuki mpaka rais kikwete aende akamsikilize shida yake.
Inadaiwa amedhulumiwa
Clouds fm wametangaza:amesema hashuki mpaka rais kikwete aende akamsikilize shida yake.
Inadaiwa amedhulumiwa
Sasa Kikwete ndie alie mdhulumu? Kwanini asiite walio mdhulumu? Huyo anataka aone mwaka mpya ukiwa unakuja, anataka aone utatokea wapi?
!
!
mnamtandika barabara..........maana hawezi kusumbua akili za watu