platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,532
Hata wewe umekosea. Si mnala ni mnaraSio mti ni mnala..
Hata wewe umekosea. Si mnala ni mnaraSio mti ni mnala..
Option 1. Chukueni Shehe amsomehe HITMA hapo chini alafu akimaliza mwambieni aruke.
Option 2. Waitwe mafundi waanze kuufungua huo mnara aanguke nao.
Option 3. Mtungueni na manati muone kama atakwepa mawe! akikwepa mjue anatishia nyau achaneni nae endeleen kuchapa kazi za maendeleo baadaye atashuka na kukuta maisha magumu zaid
anasema maisha magumu. ni ubungo stand ya mkoa mnara uliopo TBS
source: HUNIJUI
View attachment 129561
Kwa Bongo utasikia kakamatwa na kufungwa miaka 30 jela kuhatarisha maisha ya watu ila wauza unga wanao angamiza watu kila kukicha wanaangaliwa na kuheshimiwa pamoja na kukaribishwa Ikulu kufuturu.
hahaaa!!! wakati tunatangaziwa maisha bora kwa kila mtanzania alikuwa ameziba mackio????
Sio mti ni mnala..
Chukueni manati mtungueni huko,
Jamaa mbishi sio wewe ndo uko juu ya MNALA. Maana imeandikwa Jamaa hapo kwenye heading
Ndiyo maana jamii yetu inakemea ubwiaji unga, si bure na moja ya sababu zake ni kama hizi kujichanganya bila kujijuwa. Sasa jiulize jamaa aliyepanda mnara na Jamaa_Mbishi wana uwiano gani? I hope utakuwa sober ili unijibu vizuri kwa kutumia akili zako si nguvu ya unga.
Sasa hapo atashtakiwa kesi ya kwelikweli yenye ushahidi ya kutaka kujiua!jamaa anadai eti alihukumiwa kwa kesi ya kubambikiwa
Nadhani amekugwaya baada ya kumdhania ana mimba kwa ajili ya chuki chuki zake kwako.
Then,yule fundi minara wamemshusha,wakamvua na nguo,nimesikia hivyo.