mwanamke kazi
Member
- Sep 24, 2013
- 71
- 5
Hahaaa nakweli atauoona
mkuu,Tony g atakufata tu,maana anachukia uandishi wako.
Kama una ushauri na maoni mpigieni kwa namba hii 0655928788/0685928788
!
!
hahahahahahahaha, yule jamaa sijamuona tena yaani. Dah namtakia mwaka mpya wenye mafanikio tele
Mbona katumia zile ngazi zilizowekwa kwa ajili ya mafundi?Simplified!View attachment 129561
Clouds fm wametangaza:amesema hashuki mpaka rais kikwete aende akamsikilize shida yake.
Inadaiwa amedhulumiwa
ukatani huo mti.....
Mwanangu shuka tu, huoni jinsi polisi wanavyohaha hapa chini kwa ajili yako?
haya mti wa mnala... Kwani hauwezekani kukatwa...?sio mti ni mnala..
Simplified!View attachment 129561
tafuteni jeneza mumuonyeshe......atashuka mwenyewe bila kuulizwa