sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Inasikitisha lkn ndivyo ilivyokuwa, jirani yangu mkewe ni mgonjwa muda mrefu ,amelala kitandani muda mreeefu. ndg na mawifi ndio wanamshughulikia pale alipo. kumbe jamaa siku kwa siku anapiga mzigo. ugonjwa ukazidi mara kutapika nk. ikabidi wakampime hospitali (alikuwa akitibiwa kienyeji baaada ya ushauli wa madaktari) akakutwa na mimba. AIBU hivia ndo kusema jamaa alishindwa kuwa na huruma na mwenzie au ndo tamaa zilimzidi..!!!!