Comrade 01
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 601
- 624
Nimekumbana nao Sana hao.Sasa ndio maana nakwambia hawana maajabu.Yaani uzinguane na raia mmoja,amekupiga halafu uende kikosini ukachukue soldiers wengine Kwa ajili ya raia mmoja!?Huoni ni udhaifu huo?!Hizo knuckles wala hazina msaada ukiwekwa kilingeni,
Utakula doso mpaka utalainika mkuu. Kamasi na machozi vitashikana.
Labda umpige na asijue unaishi wapi.