cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,076
- 136,584
nimecheka hapa lol.Hata hao makomandoo wanaovunja mawe kwenye sherehe za Uhuru huwa wanapigwa vizuri.Huwa tunaheshimu uniform tu!Kwasababu ya ule mwenge wa Jamhuri.
nimecheka hapa lol.Hata hao makomandoo wanaovunja mawe kwenye sherehe za Uhuru huwa wanapigwa vizuri.Huwa tunaheshimu uniform tu!Kwasababu ya ule mwenge wa Jamhuri.
Taratiibu basi, mbona umejaa sana? Unachukia mwanajeshi umpende nani sasa?Kumbe huwa wanapigwaa sana tyuuh?
Yaan nafurahi mjeda akibatuliwa mie roho yangu kwatuuu.
Nyie mnaobahatika kuwaweza hao wajeda, watembezeni kichapo cha mbwa koko hadi wajute kulijua doso, pumbavu zao, nawachukia sana wanajeshi. Msieeeeew