Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Wadau tuwekane hapa wazi kwa sisi ambao tumewahi shtukia matapeli.
Mwaka juzi kuna jamaa mmoja ilitokea tulikutana bar. Alikuja meza yangu akakaa tukaongea ongea na kuwa friends.alinambia yeye ni mgeni dar anakuwa sana arusha.
Anafanya biashara ya madini so akija huwa anafikia hotel...katika maongezi tukafahamiana sana.alilipia mpaka beers zangu.nlimkatalia sana akaomba alipe sababu amefurahi kupata rafiki mwema.
Nikajiwazia nikasema tu moyoni hiiiii "yaani mimi ni mwema?"
Basi akanipa ni biznez kadi yake tukaagana tena akimwita dereva aje pia anifahamu.akiwa dar huwa anakuwa na dereva wake.
Tukawa friends after some weeks nlimkaribisha hadi home.alipapenda sana home.siku amekuja alinunua zawadi kwa watoto na wife.almost alitumia kama 200,000+
Jamaa alikuwa mpole sana anaongea kwa upole and very smart. Anapiga sana suit alikuwa akija anatumia uber au prado moja kali sana na dereva wake.
Alinambia anajenga mbezi beach alinunua kiwanja milion 150. So ujenzi unaendelea weekend moja akaniomba akanioneshe hiyo nyumba maana akiwa nje ya nchi anakosa mtu wa kumwangalizia.
Alinipeleka mbezi beach nikakuta mafundi wapo wamechangamka wakimwita mzee na kumweleza mahitaji.fundi akasema wapewe milion 8 kuna vitu vya kununua.akaomba account ya bank ya fundi akasema ataenda mtumia jumatatu.ila kwa siku hiyo akamtumia tsh mil 1 ya matumizi tu wagawane weekend.
Jamaa alikuwa fresh sana.alianza kunipa stories za biashara ya madini.akitaka niweke mtaji hata wa mil 30 ngepata mil 45 ndani ya week tu.akinishauri niende naye arusha tukanunue dhahabu then anapoenda South Afrika twende sote akanioneshe wateja.
Hapo akili ilianza ku alert.jamaa alikuwa busy na simu kuongea na wateja sometimes aliweka tu loud speaker.nlianza kushtuka kuwa jamaa yupo fast sana kunishawish.wife nikimsimulia ananambia kazi niache hata siku hiyo nikapige pesa.
Nikawa namwambia si rahisi kiivyo asubiri nifanye utafiti kwanza. Weekend moja nikapita mbezi nikakumbuka mjengo wa jamaa.kupita ile sehemu hakuna mafundi.
Nikauliza kwa vijana jirani kuwa ile nyumba nliitamani nikitaka kupata ramani yake mwenyewe yu wapi.wakanambia mwenye nayo alifungwa kwa madawa ya kulevya toka mwaka 2016. Na haijawahi guswa tena.
Nliwadodosa sana jamaa wakasema imeachwa hivyo tu ila kuna siku jamaa mmoja alikuja wakaja na mafundi wakapotea tena.
Nliporudi home nikawasiliana na jamaa.nikamuuliza ujenzi unaendeleaje.akasema safi kabisa mafundi toka siku ile wanapiga kazi mchana na usiku na jana tu alikuwa nao.anataka iishe ndani ya miezi 3. Ahamie dar.coz ana nyumba dar na south afrika.
Kesho yake nikapita tena ile sehemu.nikakuta kimya hakuna fundi hata mmoja.
Nikamuuliza tena vipi speed ya mafundi wake nataka nami nije niwatumie.akasema wapo vizuri leo tu kawapelekea vifaa vya mil 10. Hapo ndo nikashtuka zaidi.jamaa alikuwa mwongo.
After two days nikaonana naye town.nlimwambia anisaidie 50,000 ya haraka ntampatia nikifika ofisini nmesahau biz cards zangu zote aliniazima. Nlipofika ofisini nilimwambia nmempiga picha nmetuma kwa jamaa yangu polisi akatafute mtu mwingine wa kumtapeli.
Kuanzia muda huo hakupatikana tena.sijui alihamia wapi.ila niseme jamaa alikuwa vizuri.anaongea kiingereza vizuri.anajua nchi nyingi duniani.
Jamaa alikuwa amejipanga vizuri sana.alinikosa kosa sababu mimi kwenye issues za pesa huwa nachunguza sana.mzito kuamua ghafla.
Siamini katika deals ambazo zinaleta pesa kirahisi rahisi sana.ambazo hesabu zke hazimake sense.
Walinishinswa forever living,wakanishindwa gnld,wakanishindwa wazee wa goodmorning all time. Sipatikani katika kutapeliwa.
Tupeane shuhuda mbalimbali za kutapeli na kutapeliwa.mimi nlimtapeli jamaa 50,000. Na kumuingiza hasara kwa zawad ambazo alileta kwa wife na watoto wangu.
Ntaleta kisa kingine cha bi dada mmoja ambaye alitaka kunitapeli kupitia mapenzi.
Mwaka juzi kuna jamaa mmoja ilitokea tulikutana bar. Alikuja meza yangu akakaa tukaongea ongea na kuwa friends.alinambia yeye ni mgeni dar anakuwa sana arusha.
Anafanya biashara ya madini so akija huwa anafikia hotel...katika maongezi tukafahamiana sana.alilipia mpaka beers zangu.nlimkatalia sana akaomba alipe sababu amefurahi kupata rafiki mwema.
Nikajiwazia nikasema tu moyoni hiiiii "yaani mimi ni mwema?"
Basi akanipa ni biznez kadi yake tukaagana tena akimwita dereva aje pia anifahamu.akiwa dar huwa anakuwa na dereva wake.
Tukawa friends after some weeks nlimkaribisha hadi home.alipapenda sana home.siku amekuja alinunua zawadi kwa watoto na wife.almost alitumia kama 200,000+
Jamaa alikuwa mpole sana anaongea kwa upole and very smart. Anapiga sana suit alikuwa akija anatumia uber au prado moja kali sana na dereva wake.
Alinambia anajenga mbezi beach alinunua kiwanja milion 150. So ujenzi unaendelea weekend moja akaniomba akanioneshe hiyo nyumba maana akiwa nje ya nchi anakosa mtu wa kumwangalizia.
Alinipeleka mbezi beach nikakuta mafundi wapo wamechangamka wakimwita mzee na kumweleza mahitaji.fundi akasema wapewe milion 8 kuna vitu vya kununua.akaomba account ya bank ya fundi akasema ataenda mtumia jumatatu.ila kwa siku hiyo akamtumia tsh mil 1 ya matumizi tu wagawane weekend.
Jamaa alikuwa fresh sana.alianza kunipa stories za biashara ya madini.akitaka niweke mtaji hata wa mil 30 ngepata mil 45 ndani ya week tu.akinishauri niende naye arusha tukanunue dhahabu then anapoenda South Afrika twende sote akanioneshe wateja.
Hapo akili ilianza ku alert.jamaa alikuwa busy na simu kuongea na wateja sometimes aliweka tu loud speaker.nlianza kushtuka kuwa jamaa yupo fast sana kunishawish.wife nikimsimulia ananambia kazi niache hata siku hiyo nikapige pesa.
Nikawa namwambia si rahisi kiivyo asubiri nifanye utafiti kwanza. Weekend moja nikapita mbezi nikakumbuka mjengo wa jamaa.kupita ile sehemu hakuna mafundi.
Nikauliza kwa vijana jirani kuwa ile nyumba nliitamani nikitaka kupata ramani yake mwenyewe yu wapi.wakanambia mwenye nayo alifungwa kwa madawa ya kulevya toka mwaka 2016. Na haijawahi guswa tena.
Nliwadodosa sana jamaa wakasema imeachwa hivyo tu ila kuna siku jamaa mmoja alikuja wakaja na mafundi wakapotea tena.
Nliporudi home nikawasiliana na jamaa.nikamuuliza ujenzi unaendeleaje.akasema safi kabisa mafundi toka siku ile wanapiga kazi mchana na usiku na jana tu alikuwa nao.anataka iishe ndani ya miezi 3. Ahamie dar.coz ana nyumba dar na south afrika.
Kesho yake nikapita tena ile sehemu.nikakuta kimya hakuna fundi hata mmoja.
Nikamuuliza tena vipi speed ya mafundi wake nataka nami nije niwatumie.akasema wapo vizuri leo tu kawapelekea vifaa vya mil 10. Hapo ndo nikashtuka zaidi.jamaa alikuwa mwongo.
After two days nikaonana naye town.nlimwambia anisaidie 50,000 ya haraka ntampatia nikifika ofisini nmesahau biz cards zangu zote aliniazima. Nlipofika ofisini nilimwambia nmempiga picha nmetuma kwa jamaa yangu polisi akatafute mtu mwingine wa kumtapeli.
Kuanzia muda huo hakupatikana tena.sijui alihamia wapi.ila niseme jamaa alikuwa vizuri.anaongea kiingereza vizuri.anajua nchi nyingi duniani.
Jamaa alikuwa amejipanga vizuri sana.alinikosa kosa sababu mimi kwenye issues za pesa huwa nachunguza sana.mzito kuamua ghafla.
Siamini katika deals ambazo zinaleta pesa kirahisi rahisi sana.ambazo hesabu zke hazimake sense.
Walinishinswa forever living,wakanishindwa gnld,wakanishindwa wazee wa goodmorning all time. Sipatikani katika kutapeliwa.
Tupeane shuhuda mbalimbali za kutapeli na kutapeliwa.mimi nlimtapeli jamaa 50,000. Na kumuingiza hasara kwa zawad ambazo alileta kwa wife na watoto wangu.
Ntaleta kisa kingine cha bi dada mmoja ambaye alitaka kunitapeli kupitia mapenzi.
