hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Heshima kwenu wakubwa.kuna rafiki yangu mkaazi wa hapa kibaha anaishi na mama yake mzazi,baba yake mzazi alitangulia mbele za haki miaka 10 iliyopita.Jamaa ni kiwembe kuliko na mpiga maji kama mamba,amekuwa akigonganisha mademu kila kukicha.Tabia hii imekuwa kivutio kwa baadhi ya wanawake kwani hupenda kumtenga kwa kile wanachodai kuwa ni mtaalamu wa kusakata majambozi na kudesign mikunjo eti ndo maana mademu wanamshobokea na kumganda.Siku za karibu lijimama limoja amelipa vitu likanogewa likawe linamtangaza kila kona ya mji hadi mama yake mzazi akazipata taarifa hzo.Siku chache zilizopita alipiga maji akiwa na lijimama lile alipoenda kulala likamtoroka maana alikuwa chakali sana.Mara mama yake mzazi akaingia chumbani kwa jamaa na kujisogezea kitu polepole, jamaa ilipopungua pombe alianza kusukuma mashine kama kawaida yake mara akagundua anashughulika na mama yake mzazi,ndipo akatuliza boli ila mama yake alimtaka waendelee kwamba anahitaji na watatunza siri.Sasa jamaa anahaha namna ya kuishi ktk hali ile na mama yake. Anaomba ushauri afanya je?Ushauri wenu tafadhali wanajamvi.