Jamaa ahamaki ndani ya daladala!

Jamaa ahamaki ndani ya daladala!

msani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
1,800
Reaction score
1,194
Katika daladala mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto.Mtoto akakataa kunyonya,mama akamwambia "nyonya!,kama hautaki nampa anko anyonye"!anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi karibu na huyo mama.Mtoto ikabidi anyonye kidogo akaacha.Mama akamtishia tena kumpa anko!
ndipo yule kaka kwa hamaki akasema "mama uwe na msimamo,unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako,hebu kuwa mkweli!unanipa kunyonya au nishuke?
 
kwikwikwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Dah umetisha mbaya hivi hakuna tuzo kwa ambao wanafunika ndani ya mwaka mzima ?
 
Ahaha haa nimecheka mpaka machozi, ebana we noumaa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom