Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Nadhani ana tatizo hili hapa chini. Halafu hiyo uliyoweka sio video, ni audio. Video maana yake ina visual imagesNikiwa katika moja na mbili katika maeneo ya Magomeni Usalama, kuna kelele zilianza kusikika kwenye gari la Mwendokasi ambapo ilibainika njemba moja (dunga dunga) ambayo haikufahamika kama alikuwa mzima au mwendawazimu alikuwa akimsukumia miti binti mdogo ambaye alikuwa ni mwanafunzi na akiwa na miaka 6.